Nahisi gilfriend wangu ana miaka 50

Nahisi gilfriend wangu ana miaka 50

ushauri ni huu. Muambie akajifunze hesabu za kujumlisha na kutoa. Kaambiwa mdada is 36. Sasa mtu wa 1997 anakuwaje 36 na wewe kama sio uponjoro?
Hiki ni kisa nilichosimuliwa na rafiki yangu wa karibu. Umri wake ni miaka 27.. Namnukuu;

Katika mazungumzo yetu ya awali she told me she is 36 and she is cool with our age

Huyu mdada anasema, she was born in 1997 but mtoto nikimuuliza anasema she was born in 1994.

Personally ninahisi hata hiyo age ya miaka 36 atakuwa alinidanganya
 
.....una fetish na 'damu' nini? Take it easy, ukimchungua sana kuku hutomla. She's in 30's body with 50yrs experience!
 
Kwa taarifa tu mleta mada si wanawake wote wanahitimisha hedhi wafikapa miaka 45. Kuna wanawake wanaendelea hadi miaka 50 to 55. Yote haya yanategemea na factor nyingi ikiwemo za kurithi (genetical) na lishe. Wale wanawake ambao wanalishe nzuri hasa za virutubisho na hawasumbuliwi na magonjwa wanaendelea hedhi hadi hata 55 years. Cha pili wewe ulipomuona huyu kibibi chako hukukiangalia vizuri. Na kama kweli mnapendana una hangaika nini? Unategemea kumuoa huyo mama yako au? Kama unaona ni mkubwa kwako basi acha kufunua mama au dada zako, tafuta wa rika lako. Laiti angejua kuwa ametundikwa humu JF?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Na umemwambia kweli! Naona bwana mdogo anaweweseshwa na utoto bado. Kwa kutambua tu kwamba huyo mama ana binti wa umri wa miaka 19 na yeye miaka 27 ni 'common sense' ya kufahamisha huyo mwanamke ni wa kumzaa. Hivyo ni sugar mammy au 'Cougar' kama wazungu wanavyoita. Na kama hali hiyo ameikubali basi aendeleea kufaidi uhondo 24/7/365 rain or shine🙂.Maana hata yeye mwenyewe amemwaga ushuhuda kwamba amekwenda 30 days non stop🙂 Mungu ampe nini tena kijana🙂. Mambo ya age ya kujadili age na kama anapata hedi au la hayana msingi kabisa.

Nafikiri mjadala wake au swali lake lingekuwa hivi; Je itakuwa busara kuoa au kuendela ku date mama/ mwanamke ambaye ni rika la mama yake...hilo lingeweza ku make a sense.
 
Hiki ni kisa nilichosimuliwa na rafiki yangu wa karibu. Umri wake ni miaka 27.. Namnukuu;

" Nilikutana na huyu mdada kwenye mtandao wa kijamii. She is beautiful, descent and independent. Katika mazungumzo yetu ya awali she told me she is 36 and she is cool with our age different.

Tangu tumeanza kudate huu ni mwezi wa saba sasa. Kitu kimoja kinacho ni shangaza, hata siku moja hajawahi kuniambia yupo kwenye siku zake, kila mara ninapo muhitaji kwa ajili ya mambo yetu yale anakuwa available. Mwezi uliopita niliamua kufanya uchunguzi wangu ambapo niligegedadana kwa siku zote thelathini na moja a katika siku zote hizo she was okay ( i mean hakuwa kwenye siku zake ).

Kitu kingine huyu mdada ana mtoto wake wa kike, anasoma kidato cha nne. Huyu mdada anasema, she was born in 1997 but mtoto nikimuuliza anasema she was born in 1994.

Personally ninahisi hata hiyo age ya miaka 36 atakuwa alinidanganya tu ili nisimuone mzee. Kitendo cha yeye kutokuwa kwenye siku zake hata siku moja coz kwa jinsi ninavyo jua mimi, mwanamke anaanza kutokuziona siku zake baada ya kufikisha miaka 45.

So nahisi huyu mwanamke atakuwa na miaka zaidi ya 45, nifanye nini?" MWISHO WA KUNUKUU.


WANA JAMVI NAOMBENI MNISAIDIE KUMSHAURI HUYU RAFIKI YANGU.

Mimi kadem kangu kana miaka 30 for real lakini tunagegedana deile kwa sababu kanatumia dawa za uzazi wa mpango ambazo zimezipotezea mbali hormones za kuleta midamudamu ya mwezi. Mwambie jamaako amfanyie uefbi huyo demu asijekuwa anagegedaga mi hormones inhibitors.
Kama the answer is NO its true jamaa kabeba bi kikongwe.
 
Nijuavyo kuna sindano za uzazi wa mpango ambazo huzuia hayo mauchafu kutoka kila mzunguko.

Huenda hivyo ndivyo ilivyo kwa huyo manzi wako.
p

wewe ni mtoto ?? Siyo Uchafu huo NDIYO uzazi wenyewe
 
Maybe dat woman give birth 2her child when she was around 16 or 17yrs xo ts posible 4her to av a 4m four kid around 19 ts jus a matter of calculation u take (19yrs of dat 4m 4 kid) n plus (17yrs dat we assume ur Girlfriend was get bith),,delivery n finally u get 36yrs of ur Girlfriend,,..19+17=36yrs hope umenipata na kuhus bld it depend mayb anatumia dawa za uzaz wa mpango(family plan),,..hua zinakata period kwa baadh ya wanawake..,,kutoingia kwenye period c logic kua Girfriend wako ni bibi
 
Sasa wew hukukua kama uyo bibi,

Hujui kusoma hata kuangalia picha umeshindwa?zinduka wew
 
Hiki ni kisa nilichosimuliwa na rafiki yangu wa karibu. Umri wake ni miaka 27.. Namnukuu;

" Nilikutana na huyu mdada kwenye mtandao wa kijamii. She is beautiful, descent and independent. Katika mazungumzo yetu ya awali she told me she is 36 and she is cool with our age different.

Tangu tumeanza kudate huu ni mwezi wa saba sasa. Kitu kimoja kinacho ni shangaza, hata siku moja hajawahi kuniambia yupo kwenye siku zake, kila mara ninapo muhitaji kwa ajili ya mambo yetu yale anakuwa available. Mwezi uliopita niliamua kufanya uchunguzi wangu ambapo niligegedadana kwa siku zote thelathini na moja a katika siku zote hizo she was okay ( i mean hakuwa kwenye siku zake ).

Kitu kingine huyu mdada ana mtoto wake wa kike, anasoma kidato cha nne. Huyu mdada anasema, she was born in 1997 but mtoto nikimuuliza anasema she was born in 1994.

Personally ninahisi hata hiyo age ya miaka 36 atakuwa alinidanganya tu ili nisimuone mzee. Kitendo cha yeye kutokuwa kwenye siku zake hata siku moja coz kwa jinsi ninavyo jua mimi, mwanamke anaanza kutokuziona siku zake baada ya kufikisha miaka 45.

So nahisi huyu mwanamke atakuwa na miaka zaidi ya 45, nifanye nini?" MWISHO WA KUNUKUU.


WANA JAMVI NAOMBENI MNISAIDIE KUMSHAURI HUYU RAFIKI YANGU.

FaceBook bullshit stories has finally found its way here!
 
Kwa sababu kazi yake imeahirishwa. We need that flattering tummy, you know?(unajua we feel kinda stuffed around them days?. Just be easy on us, will ya?)

I'm not being hard at all. I'm just being plainspoken about it.

That stuff comes out as a result of the body (uterus) cleaning itself and prepares the woman for pregnancy each month.

If the woman doesn't get preggo the uterus lining again sheds itself readying for the next cycle.

That's just the way it is. That the uterus cleanses itself.
 
ha ha ha ha..... kama unapata utamu ambao nadhan ndo lengo la mahusiana yenu, basi unaupata sawa sawa maana da tar1......31 unagegedatu. kama unataka kumuoa kwa ajili ya kutengeneza familia basi muulize kulikoni haoni siku zake mwez mzima!!!
Hiyo avatar yako mkuu inaweza kuzua taharuki.
 
Back
Top Bottom