Nahisi gilfriend wangu ana miaka 50

Nahisi gilfriend wangu ana miaka 50

kwani wazee tuna shida gani? mi above 50 kuna shida?
 
Kulamba siyo kula. Je, wewe waweza kulamba damu ya hedhi?

Na kwa nini inatoka badala ya kubaki mwilini iendelee tu na mzunguko wa damu nyenzake kama kawaida?


menstruation is the shading of blood from the uterine lining. tissues attached to the uterus are removed and hence bleeding. je wewe ukijikata waweza kulamba hiyo damu? na je hiyo damu ikitoka baada ya kujikata originally inakuwa ni uchafu?
 
menstruation is the shading of blood from the uterine lining. tissues attached to the uterus are removed and hence bleeding. je wewe ukijikata waweza kulamba hiyo damu? na je hiyo damu ikitoka baada ya kujikata originally inakuwa ni uchafu?

Kwa hiyo inatoka mwilini kwa njia ya asili kwa sababu haihitajiki tena mwilini, siyo? Ni kama tu ambavyo baada ya kula, chakula kinasagwa tumboni, halafu kile ambacho hakihitajiki mwilini kinatoka kwa njia ya mavi, siyo?

Sasa damu inayotokana na kujikata kwa makusudi au kwa bahati mbaya si sawa na damu ya hedhi hivyo hapo mfano wako hauhusiki hata kidogo kwa sababu moja ni njia ya asili ya mwili kujisafisha na hiyo nyingine si ya asili na wala haihusiki hata kidogo na utaratibu wa mwili kujisafisha wenyewe.

Lete mifano ya vitu vinavyofanana.
 
Kwa hiyo inatoka mwilini kwa njia ya asili kwa sababu haihitajiki tena mwilini, siyo? Ni kama tu ambavyo baada ya kula, chakula kinasagwa tumboni, halafu kile ambacho hakihitajiki mwilini kinatoka kwa njia ya mavi, siyo?

Sasa damu inayotokana na kujikata kwa makusudi au kwa bahati mbaya si sawa na damu ya hedhi hivyo hapo mfano wako hauhusiki hata kidogo kwa sababu moja ni njia ya asili ya mwili kujisafisha na hiyo nyingine si ya asili na wala haihusiki hata kidogo na utaratibu wa mwili kujisafisha wenyewe.

Lete mifano ya vitu vinavyofanana.

damu ya hedhi na damu ya kujikata zote ni damu hazina tofauti. damu ya hedhi inatokana na kuchanika kwa kuta za mfuko wa uzazi ndo kunasababisha bleeding. tatizo mkishaona damu inatokea sehemu za siri mnaona ni uchafu. ingekuwa inatokea mguuni ndo unaona ni damu. na ndo maana mwanamke akitoka na hedhi mfululizo anakuwa anaemic kwa sababu damu inayotoka inatoka mwilini sawa na kama angejikata kidole.

mavi na mkojo ni uchafu originally lakini damu ya hedhi ni damu original na sio uchafu.
 
ha ha ha ha..... kama unapata utamu ambao nadhan ndo lengo la mahusiana yenu, basi unaupata sawa sawa maana da tar1......31 unagegedatu. kama unataka kumuoa kwa ajili ya kutengeneza familia basi muulize kulikoni haoni siku zake mwez mzima!!!
 
Kulamba siyo kula. Je, wewe waweza kulamba damu ya hedhi?

Na kwa nini inatoka badala ya kubaki mwilini iendelee tu na mzunguko wa damu nyenzake kama kawaida?

haha...jf is never boring...ofcoz ule ni uchafu but unaposema 'mauchafu yao' apo ndo tatizo linakuja....semantically wrong coz inaonesha maana nyingne...as if kama vile wanapenda au ni uzembe flan wanafanya ndo mana inatoka
 
kwani vipi?
kitu kina sifa za british airways af we unaleta longo longo!
watu wengine bana!hebu piga kazi dogo!
 
haha...jf is never boring...ofcoz ule ni uchafu but unaposema 'mauchafu yao' apo ndo tatizo linakuja....semantically wrong coz inaonesha maana nyingne...as if kama vile wanapenda au ni uzembe flan wanafanya ndo mana inatoka

yale maziwa yanayowatokaga ni uchafu?
 
Back
Top Bottom