Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,828
- 1,716
kama hauna kitu cha kuongea ni bora ukae kimya
usilete mashudu kwa wana jf
kama hauna kitu cha kuongea ni bora ukae kimya
acha kutuchanganya na vitopic ambavyo havina mashiko, mlize huyo rafiki yako negetive effects alizopata baada ya kugundua demu(bibi) yake huyo anamzidi miaka? then cku ya kwanza alishindwa kutambua kama ni binti, mdada, mama au bibi? na anataka tumshauri kuhusu nini? je anataka sisi tupunguze miaka ya huyo mama(bibi)?
Nijuavyo kuna sindano za uzazi wa mpango ambazo huzuia hayo mauchafu kutoka kila mzunguko.
Huenda hivyo ndivyo ilivyo kwa huyo manzi wako.
hayaitwi mauchafu ni hedhi
Hata mavi yanaitwa mavi lakini ni mauchafu.
Pole najua content ya uzi imekuudhi coz inaonekana na wewe ni bibi kizee. Be proud of urself, watu wengi wanatamani sana wafikie at least nusu ya age yako.
ila na wewe si unapata unachokitaka,shida ya nini?
exactly...hata hayo yana jina lake ambalo ni hedhi na si mauchafu.
wewe ndio una laana ya kulala na bibi kizee,umarioo umekuzidi tafuta kazi ya kufanya,this is my last post to you,endelea kuweka mashudu yako kama kawaida mkuu its free world...
Pole najua content ya uzi imekuudhi coz inaonekana na wewe ni bibi kizee. Be proud of urself, watu wengi wanatamani sana wafikie at least nusu ya age yako.
wewe ndio una laana ya kulala na bibi kizee,umarioo umekuzidi tafuta kazi ya kufanya,this is my last post to you,endelea kuweka mashudu yako kama kawaida mkuu its free world...
Anaonjeshwa asali unatafuta hadi mzingawewe shida yako nini ..... umri au utamu?? nyie watu bhana mnazingua sana jamani!!!!
Una raha, unagegeda kuanzia tarehe moja hadi 31, hongera sana!
na kwa kuongezea hapo labda alikuwa na matatizo ya uzazi akatoa kizaziNijuavyo kuna sindano za uzazi wa mpango ambazo huzuia hayo mauchafu kutoka kila mzunguko.
Huenda hivyo ndivyo ilivyo kwa huyo manzi wako.
hayaitwi mauchafu ni hedhi
Ina maana huwezi kutofautisha Mmama mwenye miaka 36 na mwenye miaka 50 ? Tangaza ndoa utaona miaka atakayoandika katika cheti cha ndoa.