Nahisi alikuwa gesti

Nahisi alikuwa gesti

Huyo kapigwa rafiki yangu,harafu ana confidence yakutosha,vyumba vya kawaida kukuta feni juu ni nadra sana,hii kwa gect ndo fasheni.wanawake wa ivo hawafai ,wanaopenda kujipiga vipicha wengi wao tabia zao ni chafu,kusifiwa na wanaume na kutongozwa kwao ndo habari ya mjini,mpe hai shemeji yangu chawote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo kapigwa rafiki yangu,harafu ana confidence yakutosha,vyumba vya kawaida kukuta feni juu ni nadra sana,hii kwa gect ndo fasheni.wanawake wa ivo hawafai ,wanaopenda kujipiga vipicha wengi wao tabia zao ni chafu,kusifiwa na wanaume na kutongozwa kwao ndo habari ya mjini,mpe hai shemeji yangu chawote

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah!! Umeandika ukweli mtupu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo ulitaka ule peke yako ? Unadhani na mi simtamani ? Kizuri hajakuvunjia heshima acha tuendelee kula wote.
 
Ashaliwa huyo na inawezekana ndo tabia yake.bado hujamsoma vzuri. Naww unaanzaje kuwa na manz mmoja tu??

Sent using Redmi7
 
Moja kwa moja kwenye mada. Demu wangu leo tangu asubuhi tulikuwa tunachat fresh kabisa mpaka kufikia mida ya saa kumi na moja hivi. Kwa kupumzika pumzika sio mwanzo mwisho chatting

Ilivyofika saa 11 jioni akatoka online. Saa kumi na mbili alipost picha akiwa home kwao amependeza anaonekana anamtoko. Hatukuchat tena kuanzia muda huo na hakuwa online.

Mimi ilivyofika saa tatu nikalala zangu. Ilivyofika saa nane usiku nikashtuka nikaangalia Whatsapp status nikaona amepost video anacheza kwenye room ambayo nimeitilia mashaka na jinsi ilivyo. Room ina kitanda kimoja kimetandikwa fresh halafu kina kidirisha cha juu kidogo, japo sijui room ya nyumbani kwao ikoje but nafsi inaniambia kabisa yale ni mazingira ya gest. Halafu juu kuna kifeni kina pepea kwa speed ya 4G. Na sehemu nyingine kazificha kwa kutumia emoji.

Je naanzaje anzaje kumuuliza wadau. Emu nipeni madini jinsi ya kumkamata mwizi .

Sent using Jamii Forums mobile app

Huo utoto kuchati na Demu masaa yote hayo unataka kupindua nchi?


Sent using IPhone X
 
Amini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.

Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!

NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabsaa mkuu,hisia ndo kila kitu kwa mwanadamu,
Mie kuna kitu nilihisi kwa demu wangu kuwa kaanza kuchepuka lakn nikahisi hisia zinanidanganya lakn mwsho wa siku hisia zikaja kuwa kweli na nilikua nishachelewa muda sanaaa,kwahyo binadamu tukiwa na hisia na kitu flani tusisite kukiamini hata kwa asilimia uchache.
Chunguza na tafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.

Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!

NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake tuishi nao kwa akili.
Mwanamke ni chombo cha starehe tu akiamua kumpa starehe mwenzako usishangae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuko pamoja mkuu
Kweli kabsaa mkuu,hisia ndo kila kitu kwa mwanadamu,
Mie kuna kitu nilihisi kwa demu wangu kuwa kaanza kuchepuka lakn nikahisi hisia zinanidanganya lakn mwsho wa siku hisia zikaja kuwa kweli na nilikua nishachelewa muda sanaaa,kwahyo binadamu tukiwa na hisia na kitu flani tusisite kukiamini hata kwa asilimia uchache.
Chunguza na tafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom