Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 770
- 1,315
- Thread starter
- #41
Sometimes zinakuwa hisia tu. Kama nilivyosema sijui chumba anachoishi kwao kikoje.Toka 2020 ianze wanaume tunaongoza kulalamika.. Sijui tatizo liko wapi. Najikuta nina swali genuine, hao wanawake wanaopelekwa guest house mnawatoa wapi? Halafu anafikia kupost video yuko mazingiza kama hayo wakati anajua ana boyfriend/fiance'/mme.. au wewe ni mchepuko wake so she gives no **** with you?
A woman should leave no loose ends!!
Sent using Jamii Forums mobile app


