Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 770
- 1,315
- Thread starter
- #101
Fanya uwezavyo uweze kupima Diameter ya K.. Ukiona imetanuka, ujue katumika.


soonSent using Jamii Forums mobile app
Fanya uwezavyo uweze kupima Diameter ya K.. Ukiona imetanuka, ujue katumika.


soonMkuu umenena vyema kabisaAmini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.
Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!
NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uuu ndo ushauri kakaIli muende sawa usimuulize.. na wew nenda kapige picha nje pale kwenye bango la guest afu na ww post.. usisahau kuficha ficha na viimoji
Sent using Jamii Forums mobile app




Vipi wewe uliacha siku ile au?Amini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.
Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!
NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app


alikuwa yupo kwao. Ulikuwa ni wivu tu!
Tupe mrejesho wa ulicho gundua