Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 771
- 1,321
- Thread starter
- #101
[emoji3][emoji3][emoji3] soonFanya uwezavyo uweze kupima Diameter ya K.. Ukiona imetanuka, ujue katumika.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] soonFanya uwezavyo uweze kupima Diameter ya K.. Ukiona imetanuka, ujue katumika.
Mkuu umenena vyema kabisaAmini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.
Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!
NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uuu ndo ushauri kakaIli muende sawa usimuulize.. na wew nenda kapige picha nje pale kwenye bango la guest afu na ww post.. usisahau kuficha ficha na viimoji
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi wewe uliacha siku ile au?Amini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.
Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!
NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe mrejesho wa ulicho gundua