Nahisi alikuwa gesti

Mbochong'a

JF-Expert Member
May 2, 2011
759
1,293
Moja kwa moja kwenye mada. Demu wangu leo tangu asubuhi tulikuwa tunachat fresh kabisa mpaka kufikia mida ya saa kumi na moja hivi. Kwa kupumzika pumzika sio mwanzo mwisho chatting

Ilivyofika saa 11 jioni akatoka online. Saa kumi na mbili alipost picha akiwa home kwao amependeza anaonekana anamtoko. Hatukuchat tena kuanzia muda huo na hakuwa online.

Mimi ilivyofika saa tatu nikalala zangu. Ilivyofika saa nane usiku nikashtuka nikaangalia Whatsapp status nikaona amepost video anacheza kwenye room ambayo nimeitilia mashaka na jinsi ilivyo. Room ina kitanda kimoja kimetandikwa fresh halafu kina kidirisha cha juu kidogo, japo sijui room ya nyumbani kwao ikoje but nafsi inaniambia kabisa yale ni mazingira ya gest. Halafu juu kuna kifeni kina pepea kwa speed ya 4G. Na sehemu nyingine kazificha kwa kutumia emoji.

Je naanzaje anzaje kumuuliza wadau. Emu nipeni madini jinsi ya kumkamata mwizi .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.

Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!

NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Clip anayo yeye coz alirusha kwenye status.
Amini sana hisia zako. Huo ndio mlango wa sita wa fahamu. Hisia huzalisha tashwishi, ambayo huzalisha uchunguzi. Uchunguzi hutoa majibu ya kuthibitisha au kukanusha hisia.

Hisia ni mlango wa sita wa fahamu! Heshimu Hisia Zako!

NB:
1. Rusha hiyo video clip
2. Ikiwa ni kweli, umeachwa ndugu yangu. Anza kusaka upya mwanamke mwingine ili ukija elezwa biashara imekwisha, usishikwe na utungu.

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kwa moja kwenye mada. Demu wangu leo tangu asubuhi tulikuwa tunachat fresh kabisa mpaka kufikia mida ya saa kumi na moja hivi. Kwa kupumzika pumzika sio mwanzo mwisho chatting

Ilivyofika saa 11 jioni akatoka online. Saa kumi na mbili alipost picha akiwa home kwao amependeza anaonekana anamtoko. Hatukuchat tena kuanzia muda huo na hakuwa online.

Mimi ilivyofika saa tatu nikalala zangu. Ilivyofika saa nane usiku nikashtuka nikaangalia Whatsapp status nikaona amepost video anacheza kwenye room ambayo nimeitilia mashaka na jinsi ilivyo. Room ina kitanda kimoja kimetandikwa fresh halafu kina kidirisha cha juu kidogo, japo sijui room ya nyumbani kwao ikoje but nafsi inaniambia kabisa yale ni mazingira ya gest. Halafu juu kuna kifeni kina pepea kwa speed ya 4G. Na sehemu nyingine kazificha kwa kutumia emoji.

Je naanzaje anzaje kumuuliza wadau. Emu nipeni madini jinsi ya kumkamata mwizi .

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu sasa we apo unahangaika nini? Kama umeona kabisa hayo mazingira ni ya guest, na kama ujuavyo mtu hawez kwenda guest peke yake unless labda angekua amesafiri nje ya mkoa. Hiyo inamaana alikua na njemba na limemtifua.

Nilichogundua inaonekana wewe huyu dem unamliaga getto au gesti za vichochoroni zile za elfu 5 mnapewa na soda, ndio maana demu kachachawa kupelekwa guest nzuri mpaka kaona apost mitandaoni.

Hapo una mambo mawili ya kufanya:
1. Kama unataka kuachana nae, we muulize alipokua. Utazua ugomvi mkubwa tu na mwisho mtaachana
2. Unaweza usimuulize chochote ukaendelea kumega kisela maana so far hajaanza nyodo, ila soon ataanza na mtaachana.

Mi ningekua ni wewe ningepiga kimya niendelee kula cha mwisho mwisho.
 
Back
Top Bottom