Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Kama umeamua kuwasifia kkkt wasifie kivyako lakini siyo kutukana wakatoliki.Maaskofu kkkt nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.
Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Askofu Saba.
Askofu Niwemugizi
Padre Kitima
Baraza la TEC hukuwasikia au umeamua kuchagua wa kushambulia?