Nafurahi sana maaskofu wa KKKT wanavyowaumbua TEC

Maaskofu kkkt nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Kama umeamua kuwasifia kkkt wasifie kivyako lakini siyo kutukana wakatoliki.

Askofu Saba.
Askofu Niwemugizi
Padre Kitima
Baraza la TEC hukuwasikia au umeamua kuchagua wa kushambulia?
 
Waumini nimewataja wapi hapo ebu kuwa na adabu wewe mimi sio mtoto mwenzio. Ngoja nikusaidie nimewataja wapumbavu ambao ni watu wa taifa lako
Wumini ndo wanaotaka kutetewa dhidi ya dhulma na mauaji. Wanaodhulumiwa na kupigwa risasi au kupotezwa ni waumini mfano lisu aliyepigwa lisasi 32 ni muumini wa kanisa katoliki
 
Maaskofu kkkt nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Acha uchochezi na uchonganishi wewe ni mmoja wa vile vigenge tunavyoandaa orodha Yao kwa hatua stahiki.
 
Pengo pia alimsifia Hitler na kusema kuwa alileta maendeleo lakini analaumiwa tu kwa mauaji ya halaiki ys Wayahudi

Lakini nadhani msimamo wa Pengo sio wa Kanisa Katoliki, Kanisa katoliki walikemea sana watu kutekwa Magufuli akawakejeli
 
Kuna weledi katika kuua watu? Au wafe watu wangapi ndo huo weledi ujidhihirishe. Acheni kukalilishwa eti wanatumja weredi wakati ni washenzi tu. Kwanza ndo walisababisha mauaji ya kimbali rwanda halafu eti unasema weredi. Na ukumbuke mapadre na maaskofu wengi wa kanisa katoliki ni failures form six. Wanaopata div one na kwenda upadre huwa wachache sana.
Mkuu, you're too emotional!Tulia.
 
Wumini ndo wanaotaka kutetewa dhidi ya dhulma na mauaji. Wanaodhulumiwa na kupigwa risasi au kupotezwa ni waumini mfano lisu aliyepigwa lisasi 32 ni muumini wa kanisa katoliki
Ndio waumini inabidi watetewe pale dhuluma inapofanyika, lakini kabla ya kufika huko unajua Idara ya habari ya kanisa katoliki inavyofanya kazi?

Ndio Tundulisu alipigwa risasi na jambo hilo ni dhuluma kila mtu analitambua lakini unajua kwamba pale Lisu profile yake ilikuwa inasomeka kama political figure?Unajua kanisa limeelezwa nini when dealing with politics?

Ndio, kanisa ilibidi liseme chochote kwa maana Lisu mbali ya kuwa na profile yake ya kisiasa bado ni muumini na mtanzania mwenzetu.Swali ni kuwa una uhakika kanisa alikusema chochote? au kwasababu hukuwaona wakiita waandishi wa habari?.Ukweli ni kwamba kanisa katoliki lilisema na linaendelea kusema na jambo hili linafanyika katika ibada za kila siku kupitia mafundisho ya Misa
 
Maaskofu kkkt nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Unamisikilizaga katibu wa TEC Kitime.
 
Ndio waumini inabidi watetewe pale dhuluma inapofanyika, lakini kabla ya kufika huko unajua Idara ya habari ya kanisa katoliki inavyofanya kazi?

Ndio Tundulisu alipigwa risasi na jambo hilo ni dhuluma kila mtu analitambua lakini unajua kwamba pale Lisu profile yake ilikuwa inasomeka kama political figure?Unajua kanisa limeelezwa nini when dealing with politics?

Ndio, kanisa ilibidi liseme chochote kwa maana Lisu mbali ya kuwa na profile yake ya kisiasa bado ni muumini na mtanzania mwenzetu.Swali ni kuwa una uhakika kanisa alikusema chochote? au kwasababu hukuwaona wakiita waandishi wa habari?.Ukweli ni kwamba kanisa katoliki lilisema na linaendelea kusema na jambo hili linafanyika katika ibada za kila siku kupitia mafundisho ya Misa
Kwa hiyo unataka kusema kanisa haliko huru i.e limetekwa na umagharibi. Haliko kwa ajiri ya watu bali kwa ajiri ya interest za vatican. Vatican isposema basi hata wata watu wakichinjwa poa tu ilimradi vatican hawajaona kosa.
Basi this is not a normal church.
 
Kwa hiyo unataka kusema kanisa haliko huru i.e limetekwa na umagharibi. Haliko kwa ajiri ya watu bali kwa ajiri ya interest za vatican. Vatican isposema basi hata wata watu wakichinjwa poa tu ilimradi vatican hawajaona kosa.
Basi this is not a normal church.
Yaani unachukua maneno ya mwenzako humu humu JF na unayafanyia conclusion! Mnatuharibia JamiiForums jamani, sio lazima muwemo humu
 
Kwa hiyo unataka kusema kanisa haliko huru i.e limetekwa na umagharibi. Haliko kwa ajiri ya watu bali kwa ajiri ya interest za vatican. Vatican isposema basi hata wata watu wakichinjwa poa tu ilimradi vatican hawajaona kosa.
Basi this is not a normal church.
Naomba nione nlipo sema kanisa katoliki haliko huru katika hiyo comment.Ndio kanisa lipo kwa ajili ya interest za Vatican kuna jingine labda ulitaka kuliongeza kwa maana naona umeamua kulishambulia kanisa licha ya maelezo nliyokupatia lakini bado unaibua yako unayoyapenda.
 
Yaani unachukua maneno ya mwenzako humu humu JF na unayafanyia conclusion! Mnatuharibia JamiiForums jamani, sio lazima muwemo humu
Bora umeweza kuliona hili. The man is trying to attack the church. What I have said ni kwamba Roman Catholic church has its own way of conveying information.Sasa ambacho sielewi huyu mwenzetu anataka kanisa lifanye kazi kama anavyopenda yeye.
 
Yaani mtu anakula zake ugali na nyanya chungu anashiba anaingia jf kuandika vitu ambavyo havina maana na ukweli..

Waraka wa Waroma kwenye pasaka ulikuwa huusomi?..

Huyo Niwemugizi sio RC??..au unataka hadi masista wa wakatoliki kila mmoja kwa wakati wake aite press conference?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom