Nafurahi sana maaskofu wa KKKT wanavyowaumbua TEC

Mbona una mambo mengi home boy, kwahiyo huyo Niwemuguzi ni wa KKT sio? Kwani hao KKT umetaja wangapi?Nina swali dogo kwako,Hivi unaposema Sabaya na Makonda walifanya mauaji unaweza nipatia ushahidi katika hili? Ni nani aliuliwa na hawa uliowataja na sehemu zipi?

Alafu ni lini ulisikia kanisa linapigania wapumbavu au imetajwa wapi kwenye vitabu vya dini kwamba mtume fulani au mtumishi wa Mungu aliwapigania wapumbavu?Ukweli ni kwamba mpumbavu kamanishiwa kiama toka mwanzo ndio maana unaona kanisa lipo kimya.
Unapowaona wengine ni wapumbavu wao nao wanakuchukulia hivyo hivyo .
 
Taarifa TEC sio za binafsi,TEC ina namna yake ya kuwasiliana na waumini wake na hii huja baada ya vikao vya baraza(TEC) mfano,nyaraka za kwaresma,pasaka,majilio na noeli na pale wanapoona kuna haja ya kufanya hivyo.Askofu mmoja mmoja huwa wanaongea na waumini wao kwenye mimbari zao katika maeneo yao ya kichungaji,muwe mnaenda na kamera zenu huko.
 
Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Unapenda Udaku
 
Maaskofu takataka,

Vibaraka wa mabeberu,

Hawana nia yoyoye njema na nchi yetu zaidi ya kuwatumikia mabwana zao.
 
Kuna weledi katika kuua watu? Au wafe watu wangapi ndo huo weledi ujidhihirishe. Acheni kukalilishwa eti wanatumja weredi wakati ni washenzi tu. Kwanza ndo walisababisha mauaji ya kimbali rwanda halafu eti unasema weredi. Na ukumbuke mapadre na maaskofu wengi wa kanisa katoliki ni failures form six. Wanaopata div one na kwenda upadre huwa wachache sana.
Mungu akusamehe ndugu yangu
 
Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Kadinari Pengo wa Katoliki hana tofauti na Askofu Malasusa wa KKKT, Malasusa anadrift kivyakevyake na muda wake wa kuhudumu ulikwisha pita.
 
Ndio waumini inabidi watetewe pale dhuluma inapofanyika, lakini kabla ya kufika huko unajua Idara ya habari ya kanisa katoliki inavyofanya kazi?

Ndio Tundulisu alipigwa risasi na jambo hilo ni dhuluma kila mtu analitambua lakini unajua kwamba pale Lisu profile yake ilikuwa inasomeka kama political figure?Unajua kanisa limeelezwa nini when dealing with politics?

Ndio, kanisa ilibidi liseme chochote kwa maana Lisu mbali ya kuwa na profile yake ya kisiasa bado ni muumini na mtanzania mwenzetu.Swali ni kuwa una uhakika kanisa alikusema chochote? au kwasababu hukuwaona wakiita waandishi wa habari?.Ukweli ni kwamba kanisa katoliki lilisema na linaendelea kusema na jambo hili linafanyika katika ibada za kila siku kupitia mafundisho ya Misa
Hapa , swala la Lissu umelifanya jepesi kama lisilohitaji kulitolea kauli. Ndiyo maana hatushangai mpaka leo hakuna uchunguzi wowote ulio rasmi uliokwisha kufanyika.

Ukweli ni kuwa makanisa yayokaa kimya viongozi wa dola wanapowanyanyasa waumini wao . Hayafai kuwa kimbilio la wanyonge (wananchi). Bali ni majukwaa ya wanasiasa wasaliti na watesaji.
 
Maaskofu wa katoliki ni wanafiki sana sana wao huwa against na rais asiye mkatoliki !!! Kama rais ni mkatoliki hata avurunde vipi hawaongei !! Nakumbuka wslimsumbua sana kikwete!!!
Hawa ni wanafiki sana wanajifanya hawaoi kumbe wanalaw....... Watoto hovyo kabisa
 
KKKT = UJERUMANI=CHADEMA walisema zamu yao ya kutoa rais ilikuwa 2015 kupitia Lowassa-sasa unaweza kuelewa kwanini wao si kama wale wa TEC
Bora tuu kuliko hawa wafira... Wanajifanya hawaoi
 
Ni ujinga kufananisha utendaji wa kanisa lenye waumini wasiofika hata 8m na kanisa lenye waumini 30+ Tanzania pekee na lililoenea ulimwengu mzima.Effect ya maneno ya viongozi wa RC yanawafikia watu wengi zaidi hiyo ndiyo sababu ya umakini wa RC kabla ya kufanya maamuzi ya matamko tofauti na KKKT ambalo ukienda hata hapo Malawi hawapo kabisa!
 
Maaskofu KKKT nchi hii wanaonesha ndo watetezi wa kweli wa haki za binadamu wakiongozwa na ask shoo na bagonza. Sijawahi kuona maskofu wa kanisa katoliki wakikemea mauaji aliyofanya sabaya au makonda zaidi ya kumsifia makonda tu kuwa anafaa kuwa rais baada ya jpm kupitia kwa kadinyo Pengo.

Angalau kidogo niwemugizi alikemea maovo ya jpm hadharani hata akachukuliwa pasport yake. Ila maaskofu katoliki wapo kimaslahi tu hata nyie mfe wote poa tu ilimradi wao wanaota vitambi kwa sadaka zetu.
Ndio maana KKKT haiwezi kutoa Rais wa Tanzania kwasababu mnapingana na watawala
 
Kabisa Waliunga Mpaka Sheikh Alhad

2772022_1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Ni ujinga kufananisha utendaji wa kanisa lenye waumini wasiofika hata 8m na kanisa lenye waumini 30+ Tanzania pekee na lililoenea ulimwengu mzima.Effect ya maneno ya viongozi wa RC yanawafikia watu wengi zaidi hiyo ndiyo sababu ya umakini wa RC kabla ya kufanya maamuzi ya matamko tofauti na KKKT ambalo ukienda hata hapo Malawi hawapo kabisa!
Mapadri wanawalawi...... Waumin hii ni riport kutoka Vatican !!! Ajabu kabisa shame on you and. Your clergs
 
Back
Top Bottom