Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Unapowaona wengine ni wapumbavu wao nao wanakuchukulia hivyo hivyo .Mbona una mambo mengi home boy, kwahiyo huyo Niwemuguzi ni wa KKT sio? Kwani hao KKT umetaja wangapi?Nina swali dogo kwako,Hivi unaposema Sabaya na Makonda walifanya mauaji unaweza nipatia ushahidi katika hili? Ni nani aliuliwa na hawa uliowataja na sehemu zipi?
Alafu ni lini ulisikia kanisa linapigania wapumbavu au imetajwa wapi kwenye vitabu vya dini kwamba mtume fulani au mtumishi wa Mungu aliwapigania wapumbavu?Ukweli ni kwamba mpumbavu kamanishiwa kiama toka mwanzo ndio maana unaona kanisa lipo kimya.