Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 9,144
- 19,689
Mimi na mke wangu tumebarikiwa kuwa na mtoto mmoja, ana miaka 6 mpaka sasa
Tatizo la huyu mtoto ni mtoto ambaye hana uvumilivu, akitaka kitu fulani ni lazima mama yake ampe la sivyo atakuwa analia mpaka akipate, akipewa chakula fulani asipokipenda itabidi mana yake ampikie kingine au mkamnunulie kingine ili kuepuka kelele, akitaka kuangalia channel fulani kwenye TV ni lazima awekewe
Nimeona ni malezi ya kipuuzi ambayo siwezi kuyaendekeza, kwa kuwa yatamharibu mtoto (dunia haiendi na haipo hivyo)
Ila kila nikijaribu kumkazia nakuta mama yake tayari amemfanyia alichokua ana demand nakuta mama yake amemfanyia hadi hii inaleta ugomvi.
Sasa nimewaza kwenda kuzaa mtoto wa nje, watoto wa nje.
Kuna dada mmoja aliniomba kuzaa nae ila nikawa nasita kuwa na mtoto wa nje, ila sasa naona ni wazo zuri kwa kuwa nikiwa nae pengine atakuwa na nidhamu zaidi ya huyu,
Watoto wa nje wanakuwa na nidhamu kidogo kwa kuwa mzazi wake mmoja anakuwa hana rasilimali nyingi sana za kuendekeza upumbavu
Tatizo la huyu mtoto ni mtoto ambaye hana uvumilivu, akitaka kitu fulani ni lazima mama yake ampe la sivyo atakuwa analia mpaka akipate, akipewa chakula fulani asipokipenda itabidi mana yake ampikie kingine au mkamnunulie kingine ili kuepuka kelele, akitaka kuangalia channel fulani kwenye TV ni lazima awekewe
Nimeona ni malezi ya kipuuzi ambayo siwezi kuyaendekeza, kwa kuwa yatamharibu mtoto (dunia haiendi na haipo hivyo)
Ila kila nikijaribu kumkazia nakuta mama yake tayari amemfanyia alichokua ana demand nakuta mama yake amemfanyia hadi hii inaleta ugomvi.
Sasa nimewaza kwenda kuzaa mtoto wa nje, watoto wa nje.
Kuna dada mmoja aliniomba kuzaa nae ila nikawa nasita kuwa na mtoto wa nje, ila sasa naona ni wazo zuri kwa kuwa nikiwa nae pengine atakuwa na nidhamu zaidi ya huyu,
Watoto wa nje wanakuwa na nidhamu kidogo kwa kuwa mzazi wake mmoja anakuwa hana rasilimali nyingi sana za kuendekeza upumbavu