Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,113
- 110,869
Sio poa mkuu, hapa shemeji ametoka chimbani kwao anahema na anatoka jasho...... sasa sijui walikua wanapanga chumba upya.š¤„Hahahaha
Sio poa mkuu, hapa shemeji ametoka chimbani kwao anahema na anatoka jasho...... sasa sijui walikua wanapanga chumba upya.š¤„Hahahaha
Ni nini hicho kwani? Hata sijaelewa..Yani hapo ukimtoa mdada wangu anatamani kuliaš¤£
Usikute Dada na shemeji walikua wanatekana, Sasa mmoja kapolochoka ndio anahemaSio poa mkuu, hapa shemeji ametoka chimbani kwao anahema na anatoka jasho...... sasa sijui walikua wanapanga chumba upya.š¤„
mi namaanisha hiziMaybe tofauti,ila Kuna program tbc ya ( sijui mama na mwana au hadithi zetu) Babu au bibi anasimulia watoto hadithi hadithi
Sijui kama tuko pamoja, sorry lkn
Oooh kama ni hz tuko pamoja, Rafikimi namaanisha hizi
Mambo tvNi nini hicho kwani? Hata sijaelewa..
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila mabeki tatu Wana tofautiana ktk kuangalia hizi channel
Beki tatu wa Masaki, anatazazama zaidi DSTV mabeki tatu wa kihindi wao full kutazana cable tv ,ila wamabeki tatu wa uswazi sasa
Rafiki sisi mabeki tatu wa uswazi tumekukosea nini lakini? šIla mabeki tatu Wana tofautiana ktk kuangalia hizi channel
Beki tatu wa Masaki, anatazazama zaidi DSTV mabeki tatu wa kihindi wao full kutazana cable tv ,ila wamabeki tatu wa uswazi sasa
Hahahaha, Rafiki we huwezi kuwa beki tatuRafiki sisi mabeki tatu wa uswazi tumekukosea nini lakini? š