Nafasi za kazi nchi za nje

Nafasi za kazi nchi za nje

nikikutana nawabongo wenzangu nakwepa sana kusalimiana kwa mkono kwasababu wananicheka sana kiganja changu kiko rough utazan mgongo wa mamba hao mikono yao laini. Chunguza tu miondoko ya wabeba boksi waliokubuhu walivyopinda na wanavyodunda siyo nature yao iyo ni fagio maaamee
ila unaweza kusoma lugha,then ukasomea kazi,let say hata nursing.Walau unakuwa na carrier ya uhakika
 
nikikutana nawabongo wenzangu nakwepa sana kusalimiana kwa mkono kwasababu wananicheka sana kiganja changu kiko rough utazan mgongo wa mamba hao mikono yao laini. Chunguza tu miondoko ya wabeba boksi waliokubuhu walivyopinda na wanavyodunda siyo nature yao iyo ni fagio maaamee

inamaana unafanyaje kaz kama hujui lugha yao (i mean wanakupaje kaz na huku no communication)?
 
yani iyo ya kushare kodi inasaidia sana kusevu hela. Huna haja ya kukodi apartment yenye room moja sebule karibu em2 na nus za bongo na homu unable masaa 6 tu. Why?? That's wastage of money. Ukishare ukachukua room moja unasave tena nje ya jiji viungani huko.

Nasikia uingereza maisha ni cheap vast and more integrated kwasabab ya multiculturalism hasa London. Nasikia kuna hostel hadi paundi 10 per night. Aina mbalimbali ya msosi hadi kande tembele mlenda na ugali wa mihogo unapata hoteleni. The good thing I heard about England there is plenty of available eligible pusis scattered its upon you to just pick and ransack vigorously. I would really like to visit London one day.

Fanya kazi kwa bidii na kujinyima kama mtumwa ili baadaye uish kama mfalme. Ni kumuomba mungu tu uzima na afya usivunjike mkono ama miguu ikikutokea iyo umekwisha me al just commit suicide

Just pick an ransack, Hahaaa come on man, think about Health and safety!. Kushea pango it's good strategy ilatulilia sana mwenzetu mmoja alikuwa anashea na mgana mmoja kamaunavyo jua kukutana some time ni shiida coz kilamtu ana check na muda, so hatukumzoea sana kumbe jamaa he was selling shit!!. (Drgs) Akakamatwa somewhere wakajakusach getto wakamkuta na mshkaji wetu amejipumzisha kwauchovu ooooh my wd, mkuu I hope u know what happened. So sad up to now I don't know where the man is, he say he was coming from Kagera. So sad.
 
inamaana unafanyaje kaz kama hujui lugha yao (i mean wanakupaje kaz na huku no communication)?
kubeba boksi kazi nyingi wanahitaj ujue kiingereza kwa sababu wakaz wa Scandinavian wengi wanafaham kiingereza. Pia hizi kazi wenyeji hawafanyi hata Kwa mtutu yani umkute mdeni mswidi ama mnorway anafagia ama anaosha vyombo never na ingekuwa hivyo cc wahamiaji tusingepata kazi. Kiingereza ni muhim sana
 
Just pick an ransack, Hahaaa come on man, think about Health and safety!. Kushea pango it's good strategy ilatulilia sana mwenzetu mmoja alikuwa anashea na mgana mmoja kamaunavyo jua kukutana some time ni shiida coz kilamtu ana check na muda, so hatukumzoea sana kumbe jamaa he was selling shit!!. (Drgs) Akakamatwa somewhere wakajakusach getto wakamkuta na mshkaji wetu amejipumzisha kwauchovu ooooh my wd, mkuu I hope u know what happened. So sad up to now I don't know where the man is, he say he was coming from Kagera. So sad.
ni wapi huko
 
Umeshindwa kunielewa au umegoma kunielewa, kuna wengine wanazimia simu mpaka ndugu zao wakati ndio wametua airport.

Sasa hayo mambo ya kuzimia simu airport mi yananihusu nini ilhali sina mpango wa kwenda huko?
 
Dogoo njoo Denmark ama nchi za Scandinavian maisha ni mazuri na kazi ni nyingi sana hapa kama kuosha vyombo kufagia zinalipa kichiz.

Tatizo sasa lazima uishi kihalali hapa ndio utafurahia maisha. Bila makaratas utaiona Denmark chungu hutaweza kufanya kazi na wala kupata nyumba ya kupanga.

Kingine nashaur wanaotaka kuja huku kubeba boks wawe na miaka chin ya thelathin. Halaf kama kwenu maisha safi na unapenda kuchagua kaz itakuwa vigumu. Na pia kama bongo una kazi unapokea mshahara wa milion moja laki8 na zaid hamna haja ya kuja huku.

Usijidanganye mtu unakuja huku eti una masters ama phd ya mlimani utapata professional work thubutuu. Asikudanganye mtu hata nesi muafrika haruhusiwi kumchoma mtu sindano mgonjwa mwenyewe atakataa hata kama amesoma vp si et ni wabaguz hapana hii ni kwasabab hatuaminiki. Tunaosha vyombo na Kufagia na wenye masters na phd kibao kutoka Africa. Elimu kubwa ni kujifunza lugha yao baaas. But what matters u make money.

Hivi karibun nataka kuposti uzi hapa kutoa elimu kiundan kuhus kubeba boks Denmark ama ughaibun. Ila hapa ni bomba ila ukiish kihalal na una work permit na wewe bado kijana unanguvu na ulisota bongo unaweza meki hela ndefu na ya hatar usipimee. Kwa saa tu hawa waaaseenge ukiosha vyombo ama kufagia wanakulipa danish krone 200 madaf 48,000 na mimi nawapigia masaa 14 kwa siku maamaee.

Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa!

nimependa ulivyo honest Mkuu...wengine wangejifai wana makampuni..
 
Nchi ambayo inasemekana inalipa vizuri duniani na kadiri ya utafiki kwamba mtu unaishi bila stress ni nchi ya Norway. Wastani wa malipo kwa saa ni kama $20. Kwa mswahili wa kibongo asiyejua maisha ya huko ataona hapo akienda atageuza maisha haraka na amepata kumbe atakuja kupatikana na kujutia.

Nchi hizo za ukanda wa Scandinavia zina vimelea vya ujamaa, na hivyo serikali inakamua kodi balaa. Ununuzi wa vitu ni ghali sana mfano kikombe cha kahawa ni $5 wakati nchi kama Marekani ni $1.50. Utakashoshtukia pesa unayolipwa inaishia kulipa gharama za kuishia vinginevyo ni full mzuka wa kubana matumizi ndo unabaki na cha kurudi nacho bongo.

Nchi za magharibi wanataka ujifunze kwanza lugha yao, maana kazini kunahitajika sana communication iwe ni oral or written. Hivo lazima ujifunze kama ni kijerumani, kiswiswi, kidenmark, kinordic nk.

Napenda watu wanaosema ukweli kuhusu maisha ya nje. I have been there so mtu akipotosha nasikitika sana.
 
sina mpango wa kufanya kazi huko unless in proffesional work coz huku bongo kazi ninayo na Nina familia changa but nimependa sana discussion ya humu ndani especially life story ya Copenhagen DN,I believe kuna watu watabenefit sana na watapata pichavya jinsi life la huko lilivyo.nilivyokuwa o-level nilisoma na mshikaji mmoja ambaye ana Ndugu states .alipotosha washkaji wengi sana class kiasi kwamba hata kusoma walipuuzia,jamaa sasa yupo mamtoni since 2002 but washkaji wanateseka bongo.keep it up wote mlio majuu na mna struggle na wote wenye mipango ya kuenda take note msije mkaharibu huko
 
Hivi kupiga boksi kunamaanisha kufanya kazi za kubeba boksi kweli au maana yake imebadilika na kuwa kazi yoyote tu ile afanyayo Mtanzania aliyeko ughaibuni?
amtafute William Malecela ampe uzoefu
 
wewe copenhagen mwambie ukweli huyo anayetaka kupiga box kuwa living standards hapo denmark ipo juu sana kiasi kwamba hiyo tsh.48,000 ukiibadilisha kwenye danish krone kimatumizi hakuna chochote cha maana utapata,mwaka 2013 niliwahi tembelea copenhagen nikafikia hotel moja city centre astoria copenhagen yenye huduma mbovu nikalipa euro 268 per day(without breakfast) na quality ya vyumba ovyo kabisa ambapo hapa bongo hotel ya gharama ya 60,000 mpaka 70,000/= unalala sehemu chumba chenye quality nzuri kuliko hicho cha astoria,baadae nilifanya ka utafiti nikagaundua hapo mjini copenhagen hiyo was regarded as the cheapest hivyo usimtajie madafu tu mwambie na gharama za maisha huko zikoje?je anaweza ku- save?
 
Shukran sana mkuu copenhagen DN tatizo ni uwezekano wa kupata visa na residential permit labda kama unafahamu utaratibu wao unavyokua au yeyote anayefahamu atufahamishe
 
Back
Top Bottom