Photocopy mashines

Photocopy mashines

Mgaratia Wa bongo

Senior Member
Joined
Oct 4, 2020
Posts
111
Reaction score
135
Habari za wakati huu Wana panels,
Naombeni ushauri juu hizi ya photocopy mashine aina ya Canon ir 2520, 2525, 2530 na 3225. ipi ni Bora na imara kati hizo? Ninampango wa kununua .
 
Hayo madude ukiyaona kwa nje unaweza ukafikiri ndani yana vitu vya maana! Kumbe ni maplastiki matupu. Yakianza kusumbua utawatafuta mafundi mpaka mbinuni waje wakurekebishie.
 
Hayo madude ukiyaona kwa nje unaweza ukafikiri ndani yana vitu vya maana! Kumbe ni maplastiki matupu. Yakianza kusumbua utawatafuta mafundi mpaka mbinuni waje wakurekebishie.
Mala drum, roller, kujam na mafundi wengi ni wababaishaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom