Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 9,277
- 9,020
Sates ndio kiwanja sahihi.Wadau habarini mm ni mtanzania ninampango wa kwenda kupiga box ughaibuni sasa naombeni ushauri nchi sahihi ya kwenda na jinsi ya kupata kazi kirahisi.nawakilisha
Sates ndio kiwanja sahihi.Wadau habarini mm ni mtanzania ninampango wa kwenda kupiga box ughaibuni sasa naombeni ushauri nchi sahihi ya kwenda na jinsi ya kupata kazi kirahisi.nawakilisha
nilikua huko miaka sita nina uzoefu mkubwa sana nicheki0682116396
Anzia kariakoo...upate eksipiriensi na kujitengenezea CV nzuri mkuu.....kumbuka hizo ni fani kama fani zingine....
Mrembo by Nature na mimi naomba nikutafuteSasa roho mbaya yangu ni kuandika ukweli? Ukweli kwa ulaya ya sasa simshauri mtu manake sio rahisi unless una scholarship, au uondoke na mpunga wa kutosha home ukukeep wakati unajiadjust.
Okay njia ya kwanza ni kwenda km student, professional job, kupitia ubeach boy, Kuomba visa ya utalii na kuzamia. Km ni graduate anitafute kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali ( esp renown ones sio vyuo vya kata) anitafute kwa mda wake.
nilikua huko miaka sita nina uzoefu mkubwa sana nicheki0682116396
Uzoefu ndio lzma uhanze kariakoo mkuu:what:
Mrembo by Nature na mimi naomba nikutafute
Wewe unahisi huyo Mrembo by Nature hapendi pesa?
Mtafute Le Mutuz kwanza miaka 30 in New York hamna kitu, miaka mitatu Bongo yupo kwenye connection.
Hawa kina Nyani Ngabu wasiwaingize mkenge wengi wao wana kampuni zao tena wanalipwa vizuri na Federal government.
Kwa hiyo amekuambia ye hana hela? Btw sio kwamba mi nataka kuzamia ulaya kuna mambo mawili matatu nahitaji kujifunza kutoka kwake
Ndio vyuo vipi hivyo vya kata!Sasa roho mbaya yangu ni kuandika ukweli? Ukweli kwa ulaya ya sasa simshauri mtu manake sio rahisi unless una scholarship, au uondoke na mpunga wa kutosha home ukukeep wakati unajiadjust.
Okay njia ya kwanza ni kwenda km student, professional job, kupitia ubeach boy, Kuomba visa ya utalii na kuzamia. Km ni graduate anitafute kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali ( esp renown ones sio vyuo vya kata) anitafute kwa mda wake.
Wewe unahisi huyo Mrembo by Nature hapendi pesa?
Mtafute Le Mutuz kwanza miaka 30 in New York hamna kitu, miaka mitatu Bongo yupo kwenye connection.
Hawa kina Nyani Ngabu wasiwaingize mkenge wengi wao wana kampuni zao tena wanalipwa vizuri na Federal government.
Baba Samira, naona umehamia huku kuwavuruga wenzio kwa uongo!Wewe unahisi huyo Mrembo by Nature hapendi pesa?
Mtafute Le Mutuz kwanza miaka 30 in New York hamna kitu, miaka mitatu Bongo yupo kwenye connection.
Hawa kina Nyani Ngabu wasiwaingize mkenge wengi wao wana kampuni zao tena wanalipwa vizuri na Federal government.
Ndio vyuo vipi hivyo vya kata!
Acha uongo wewe!Wewe unahisi huyo Mrembo by Nature hapendi pesa?
Mtafute Le Mutuz kwanza miaka 30 in New York hamna kitu, miaka mitatu Bongo yupo kwenye connection.
Hawa kina Nyani Ngabu wasiwaingize mkenge wengi wao wana kampuni zao tena wanalipwa vizuri na Federal government.
Dogoo njoo Denmark ama nchi za Scandinavian maisha ni mazuri na kazi ni nyingi sana hapa kama kuosha vyombo kufagia zinalipa kichiz.
Tatizo sasa lazima uishi kihalali hapa ndio utafurahia maisha. Bila makaratas utaiona Denmark chungu hutaweza kufanya kazi na wala kupata nyumba ya kupanga.
Kingine nashaur wanaotaka kuja huku kubeba boks wawe na miaka chin ya thelathin. Halaf kama kwenu maisha safi na unapenda kuchagua kaz itakuwa vigumu. Na pia kama bongo una kazi unapokea mshahara wa milion moja laki8 na zaid hamna haja ya kuja huku.
Usijidanganye mtu unakuja huku eti una masters ama phd ya mlimani utapata professional work thubutuu. Asikudanganye mtu hata nesi muafrika haruhusiwi kumchoma mtu sindano mgonjwa mwenyewe atakataa hata kama amesoma vp si et ni wabaguz hapana hii ni kwasabab hatuaminiki. Tunaosha vyombo na Kufagia na wenye masters na phd kibao kutoka Africa. Elimu kubwa ni kujifunza lugha yao baaas. But what matters u make money.
Hivi karibun nataka kuposti uzi hapa kutoa elimu kiundan kuhus kubeba boks Denmark ama ughaibun. Ila hapa ni bomba ila ukiish kihalal na una work permit na wewe bado kijana unanguvu na ulisota bongo unaweza meki hela ndefu na ya hatar usipimee. Kwa saa tu hawa waaaseenge ukiosha vyombo ama kufagia wanakulipa danish krone 200 madaf 48,000 na mimi nawapigia masaa 14 kwa siku maamaee.
Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa!
kwa saa mkuu. Elfu arubain na nane za kibongo madaf Kwa saaMkuu hiyo elfu 48 ni kwa siku au?