Sahihi mkuu..na unakuta hata kulipwa hiyo laki na nusu anaweza kukaa miezi minne bila kulipwa..lakini hakuna anaye wasemea...na wanaendelea na kazi.Anatafutwa mwalimu wa nursery mbande mshahara laki na nusu anatakiwa awe anakaa maeneo ya karibu 0759424753
BEZO JR unaona mambo hayo?
madam seran kwema? mawasaliano ya mtu wa karibu wa shule hiyo ili niweze kufika mimi nipo arusha🥰 Wanahtajika Matron (2)📌 wenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka 3,,📍 wenye maadili, nidhamu, usafi wa hali ya juu, wawe tayari kuishi bweni na wanafunzi, ✅shule ipo Meru, kwa walio Arusha watapewa kipaumbele,