hiii ilikua inanifaa shida imeanza hapo kwenye "mdada mrembo" 😪
umri nao nimezidi kidogo,, ngoj niweke kambi nisubiri fursa nyingineWe jiamini tu, hakuna mwanamke mbaya bwana..
pitia post za nyuma taratibu,, kunayo post ya lab tech kama sijakoseaMedical laboratory technician ikitokea mnijuze wakuu
nimeziona ila shida ni hapo kwenye vigezo vyao,, ambayo ilikua na uafadhari ni hiyo ya receptionPitia taratibu post za juu utakutana nazo nzuri tu
Pitia taratibu post za juu utakutana nazo nzuri tu
nimeziona ila shida ni hapo kwenye vigezo vyao,, ambayo ilikua na uafadhari ni hiyo ya reception
kazi yoyote isiyo hitaji taaluma, ila na kazi za ndani hapana maana zishaniumiza mgongoUngeweka kaz gan unaweza kufanya . Unategemea salary kias gan na uko wap.
Kuna mwajiri anaweza kupita na akaona unamfaa . Akakuchek pm
Web zimeshakuwa nyingi sana aisee, maybe someday u never know..Shem hongera kwa hili wazo lako.
Usichoke wala kukata tamaa.
Na pale siku Ukichoka kupost huku unafungua web yako unatuma Link tu na watu wanafuata kuangalia kule.
You never know.
One day itakulipa.
Be blessed shem.
poyeeekazi yoyote isiyo hitaji taaluma, ila na kazi za ndani hapana maana zishaniumiza mgongo
asanteepoyeee
Tusife moyo tutapata michongo ya kueleweka hapahapa. Huu uzi una kitu tutie kambi.asantee
uhakikaTusife moyo tutapata michongo ya kueleweka hapahapa. Huu uzi una kitu tutie kambi.