Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Ila waajiri sometimes jau sana.

1. Unakutana na tangazo la kazi, unafanyiwa process zote za kazi na unapata hiyo kazi, unaambiwa tunakupa wiki moja ya kukuangalia Ufanyaji kazi wako practically.

Unasema poa.

Ghafla unaanza kufanya kazi tofauti na mlizokubaliana afu boss anakuambia mbona sioni maendeleo yako, sikuelewi unafanya nini hapa 😂

Sasa utaonaje maendeleo ya kazi wakati unanipa majukumu ambayo ni mapya kwangu na sio kama yale tuliyokubaliana?



2. Kuna hii kazi ya social media officer / content creator

Unaweza kuajiriwa leo, afu baada ya wiki boss anakuuliza mbona sioni matokeo chanya?
Yaani kama ni kampuni inayotaka wateja, basi anataka wateja wajae ndani ya wiki hiyo hiyo uliopata kazi
Wiki hiyo hiyo anataka views wawe milioni, comments zifike laki, reactions zifike laki 😂

Unamshauri, ili hii content ifanyike vizuri inahitajika hiki na hiki, na yeye anaanza kusema ah mbona wengine wanafanya hvy hvy bila hivyo vifaa 😂

Boss mwngn anaamini kifaa fulani ndio bora kuliko kingine.
Atakuambia camera ya Sony inatoa picha/Video kali, WTF basi chukua hiyo camera nawe utoe picha/Video kali.

Boss mwngine anasema Komputa za MAC zinafanya kazi vzr 😂
90% ya kazi za social media officer / content creator huwezi kuziepuka kompyuta za windows

Sehemu zingine hazina wifi afu hapo hapo anataka content ziende kwa wakati 😂

Unajua kabisa h kampuni yangu inahitajika iwe na vifaa, afu hapo hapo unategemea huyo unayemuajiri awe na vifaa vyake binafsi 😂


Ah kudadeki mambo ni mengi
 
ajira kiwanda cha sigara
Hili tangazo kama sio matapeli basi TCC wamekosa umakini. Cha kwanza kwenye preamble wameandika four hundred and ninety four positions kisha kwenye mabano wakaweka (20). Pili nafasi zilizotangazwa ni 30 na sio 494 kama tangazo lilivyoelekeza. Tatu nafasi zote mbili zinataka watu wenye Diploma ila mwishoni mwa tangazo kwenye general instructions inasema wa attach certificates na transcripts za Postgraduate, Degree/Advance Diploma na Diploma. Nne email iliyotolewa ina kikonyo cha gmail badala ya .co.tz
 
Hili tangazo kama sio matapeli basi TCC wamekosa umakini. Cha kwanza kwenye preamble wameandika four hundred and ninety four positions kisha kwenye mabano wakaweka (20). Pili nafasi zilizotangazwa ni 30 na sio 494 kama tangazo lilivyoelekeza. Tatu nafasi zote mbili zinataka watu wenye Diploma ila mwishoni mwa tangazo kwenye general instructions inasema wa attach certificates na transcripts za Postgraduate, Degree/Advance Diploma na Diploma. Nne email iliyotolewa ina kikonyo cha gmail badala ya .co.tz
Hy ya mwisho kusema uweke cheti cha degrees/ diploma etc n ishu ya copy and paste tuu Ila hata sio kosa kubwa mana hata utumishi hua wanafanya hvy tena hadi kwenye zile kazi za kuhitaji elimu ya aina moja.

Hapo napo kwenye idadi ya nafasi napo kichomi 😂

Ishu ya Gmail nayo pia inatia wasiwasi, japokuwa n kawaida tuu.

Anyway, kama vigezo vipo, ww ruka nayo tuu mwisho wa siku hawatokushikia panga ili ukubali mkataba.
 
Ila waajiri sometimes jau sana.

1. Unakutana na tangazo la kazi, unafanyiwa process zote za kazi na unapata hiyo kazi, unaambiwa tunakupa wiki moja ya kukuangalia Ufanyaji kazi wako practically.

Unasema poa.

Ghafla unaanza kufanya kazi tofauti na mlizokubaliana afu boss anakuambia mbona sioni maendeleo yako, sikuelewi unafanya nini hapa 😂

Sasa utaonaje maendeleo ya kazi wakati unanipa majukumu ambayo ni mapya kwangu na sio kama yale tuliyokubaliana?



2. Kuna hii kazi ya social media officer / content creator

Unaweza kuajiriwa leo, afu baada ya wiki boss anakuuliza mbona sioni matokeo chanya?
Yaani kama ni kampuni inayotaka wateja, basi anataka wateja wajae ndani ya wiki hiyo hiyo uliopata kazi
Wiki hiyo hiyo anataka views wawe milioni, comments zifike laki, reactions zifike laki 😂

Unamshauri, ili hii content ifanyike vizuri inahitajika hiki na hiki, na yeye anaanza kusema ah mbona wengine wanafanya hvy hvy bila hivyo vifaa 😂

Boss mwngn anaamini kifaa fulani ndio bora kuliko kingine.
Atakuambia camera ya Sony inatoa picha/Video kali, WTF basi chukua hiyo camera nawe utoe picha/Video kali.

Boss mwngine anasema Komputa za MAC zinafanya kazi vzr 😂
90% ya kazi za social media officer / content creator huwezi kuziepuka kompyuta za windows

Sehemu zingine hazina wifi afu hapo hapo anataka content ziende kwa wakati 😂

Unajua kabisa h kampuni yangu inahitajika iwe na vifaa, afu hapo hapo unategemea huyo unayemuajiri awe na vifaa vyake binafsi 😂


Ah kudadeki mambo ni mengi
Pole sana boss wako ni MBWA(management by walking)😎

Wewe mtafute Poor Brain mchanganye bongo zenu mfanye makubwa! Kwa elimu uliyonayo jitahidi uwe your own boss! Mambo ya kuajiriwa utajikuta unapata heart attack!

Au kavipi tafuta IT apush hizo likes na comments fake anazotaka muajiri wako mpumbavu!

Gud mornille😎
 
Hili tangazo kama sio matapeli basi TCC wamekosa umakini. Cha kwanza kwenye preamble wameandika four hundred and ninety four positions kisha kwenye mabano wakaweka (20). Pili nafasi zilizotangazwa ni 30 na sio 494 kama tangazo lilivyoelekeza. Tatu nafasi zote mbili zinataka watu wenye Diploma ila mwishoni mwa tangazo kwenye general instructions inasema wa attach certificates na transcripts za Postgraduate, Degree/Advance Diploma na Diploma. Nne email iliyotolewa ina kikonyo cha gmail badala ya .co.tz
Basi kuweni makini tu, mtakutana na matapeli humu bila kuwa makini hivi!
All in all usitoe pesa wakati unaomba kazi yoyote!
 
Hy ya mwisho kusema uweke cheti cha degrees/ diploma etc n ishu ya copy and paste tuu Ila hata sio kosa kubwa mana hata utumishi hua wanafanya hvy tena hadi kwenye zile kazi za kuhitaji elimu ya aina moja.

Hapo napo kwenye idadi ya nafasi napo kichomi 😂

Ishu ya Gmail nayo pia inatia wasiwasi, japokuwa n kawaida tuu.

Anyway, kama vigezo vipo, ww ruka nayo tuu mwisho wa siku hawatokushikia panga ili ukubali mkataba.
Kuweni makini tafadhali.
 
Cha ajabu kwenye hizi kazi hutakiwi kabisa kuwa mtumiaji😎
Kuna mzee aliwahi kuniambia aliwahi kufanya kazi hapo, anasema kuna eneo maalum la kuvutia sigara ila sio wakat wa kazi ila hauruhusiwi kuondoka na hata sigara moja
 
Kuna mzee aliwahi kuniambia aliwahi kufanya kazi hapo, anasema kuna eneo maalum la kuvutia sigara ila sio wakat wa kazi ila hauruhusiwi kuondoka na hata sigara moja
Duh wanazingua!
 
Hello

Nahitaji sales person, mwenye uzoefu na kuzungumza na wateja mshahara 500,000 kwa mwezi

Tuma cv na picha kwa namba ±255769516170
 
Back
Top Bottom