Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,129
- 126,122
Ila waajiri sometimes jau sana.
1. Unakutana na tangazo la kazi, unafanyiwa process zote za kazi na unapata hiyo kazi, unaambiwa tunakupa wiki moja ya kukuangalia Ufanyaji kazi wako practically.
Unasema poa.
Ghafla unaanza kufanya kazi tofauti na mlizokubaliana afu boss anakuambia mbona sioni maendeleo yako, sikuelewi unafanya nini hapa 😂
Sasa utaonaje maendeleo ya kazi wakati unanipa majukumu ambayo ni mapya kwangu na sio kama yale tuliyokubaliana?
2. Kuna hii kazi ya social media officer / content creator
Unaweza kuajiriwa leo, afu baada ya wiki boss anakuuliza mbona sioni matokeo chanya?
Yaani kama ni kampuni inayotaka wateja, basi anataka wateja wajae ndani ya wiki hiyo hiyo uliopata kazi
Wiki hiyo hiyo anataka views wawe milioni, comments zifike laki, reactions zifike laki 😂
Unamshauri, ili hii content ifanyike vizuri inahitajika hiki na hiki, na yeye anaanza kusema ah mbona wengine wanafanya hvy hvy bila hivyo vifaa 😂
Boss mwngn anaamini kifaa fulani ndio bora kuliko kingine.
Atakuambia camera ya Sony inatoa picha/Video kali, WTF basi chukua hiyo camera nawe utoe picha/Video kali.
Boss mwngine anasema Komputa za MAC zinafanya kazi vzr 😂
90% ya kazi za social media officer / content creator huwezi kuziepuka kompyuta za windows
Sehemu zingine hazina wifi afu hapo hapo anataka content ziende kwa wakati 😂
Unajua kabisa h kampuni yangu inahitajika iwe na vifaa, afu hapo hapo unategemea huyo unayemuajiri awe na vifaa vyake binafsi 😂
Ah kudadeki mambo ni mengi
1. Unakutana na tangazo la kazi, unafanyiwa process zote za kazi na unapata hiyo kazi, unaambiwa tunakupa wiki moja ya kukuangalia Ufanyaji kazi wako practically.
Unasema poa.
Ghafla unaanza kufanya kazi tofauti na mlizokubaliana afu boss anakuambia mbona sioni maendeleo yako, sikuelewi unafanya nini hapa 😂
Sasa utaonaje maendeleo ya kazi wakati unanipa majukumu ambayo ni mapya kwangu na sio kama yale tuliyokubaliana?
2. Kuna hii kazi ya social media officer / content creator
Unaweza kuajiriwa leo, afu baada ya wiki boss anakuuliza mbona sioni matokeo chanya?
Yaani kama ni kampuni inayotaka wateja, basi anataka wateja wajae ndani ya wiki hiyo hiyo uliopata kazi
Wiki hiyo hiyo anataka views wawe milioni, comments zifike laki, reactions zifike laki 😂
Unamshauri, ili hii content ifanyike vizuri inahitajika hiki na hiki, na yeye anaanza kusema ah mbona wengine wanafanya hvy hvy bila hivyo vifaa 😂
Boss mwngn anaamini kifaa fulani ndio bora kuliko kingine.
Atakuambia camera ya Sony inatoa picha/Video kali, WTF basi chukua hiyo camera nawe utoe picha/Video kali.
Boss mwngine anasema Komputa za MAC zinafanya kazi vzr 😂
90% ya kazi za social media officer / content creator huwezi kuziepuka kompyuta za windows
Sehemu zingine hazina wifi afu hapo hapo anataka content ziende kwa wakati 😂
Unajua kabisa h kampuni yangu inahitajika iwe na vifaa, afu hapo hapo unategemea huyo unayemuajiri awe na vifaa vyake binafsi 😂
Ah kudadeki mambo ni mengi