Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kwani bro me nipo Hapa kuaminisha watu
Amna wee jieshimu pia nenda na mada ambayo kila mtu ataichangia kwa faida sio kwa mabashano ambayo hayana faida yoyote pia kingine

Kama kweli wew upo kwenye kitengo basi inabidi ufate kanuni zako za kazi ivi

Unahisi umu ndani upo mwenyewe private au

Wapi wengi sana umu ndani ila wanajua nini maana ya kazi yao saa wew unabishana vitu ambavyo havina faida yoyote

Mii nakuomba wee kausha tuuh kama yeye anaona yupo sawa basi muache abaki na ukweli wake na wew ubaki na ukweli wako
 
Amna wee jieshimu pia nenda na mada ambayo kila mtu ataichangia kwa faida sio kwa mabashano ambayo hayana faida yoyote pia kingine

Kama kweli wew upo kwenye kitengo basi inabidi ufate kanuni zako za kazi ivi

Unahisi umu ndani upo mwenyewe private au

Wapi wengi sana umu ndani ila wanajua nini maana ya kazi yao saa wew unabishana vitu ambavyo havina faida yoyote

Mii nakuomba wee kausha tuuh kama yeye anaona yupo sawa basi muache abaki na ukweli wake na wew ubaki na ukweli wako
We umeona wapi me nasema hivo haya mabishano yalianzia mbali me sijakaa Hapa kusema me private hapana katika issue ya kuwaelesha hawa ma dg ndio wame notice hivo alafu sio mm tu nnaendeleza hio mada isipokua me nawajibu wanao no quote sawa alafu tupo wengi tunaojibizana kwann unakomaa na mm
 
Mimi ningekuwa nina mpango wa kuwa mwanajeshi ningeshakuwa kitambo tena sasa hivi ningekuwa captain, maana chance nilikuwa nayo tangu naingia jkt kwa mujibu wa sheria ila sikuhitaji, wewe na vilaza wenzio ndio mlikuwa mnaiota kihangaiko

Ndio maana umesota kote huko mara mujibu mara chuo mara urudi tena kujitolea sababu hukuwa na connection

Wale wenzio wenye connection wala hawasoti miaka yote hiyo
Ww jamaa unaejiita chui wa kijani unaniandama mm dharau ka hizi inamaana huzioni unatakaje labda nikae kimya tu
 
Mimi ningekuwa nina mpango wa kuwa mwanajeshi ningeshakuwa kitambo tena sasa hivi ningekuwa captain, maana chance nilikuwa nayo tangu naingia jkt kwa mujibu wa sheria ila sikuhitaji, wewe na vilaza wenzio ndio mlikuwa mnaiota kihangaiko

Ndio maana umesota kote huko mara mujibu mara chuo mara urudi tena kujitolea sababu hukuwa na connection

Wale wenzio wenye connection wala hawasoti miaka yote hiyo
Daaah! Mungu ni mwema siku zotee mi bado naiota kihangaiko kusema kweli
 
Hahaha kijana hajui pengine anaweza kuwa anabishana na baba zake humu anafikiri kila mtu kwenye huu uzi ni mtoto mwenzie aliyekuja kutafuta hizo ajira za majeshi tu
Sa si ndo hapo ndomana nmempa ushauri wa bure hauhitaj kulipia
 
Amna wee jieshimu pia nenda na mada ambayo kila mtu ataichangia kwa faida sio kwa mabashano ambayo hayana faida yoyote pia kingine

Kama kweli wew upo kwenye kitengo basi inabidi ufate kanuni zako za kazi ivi

Unahisi umu ndani upo mwenyewe private au

Wapi wengi sana umu ndani ila wanajua nini maana ya kazi yao saa wew unabishana vitu ambavyo havina faida yoyote

Mii nakuomba wee kausha tuuh kama yeye anaona yupo sawa basi muache abaki na ukweli wake na wew ubaki na ukweli wako
Maturity Advice
 
Mkuu kwani wewe ni mgeni jf humu watu wanakujibu kulingana na ulivyokuja, aliyeleta dharau nani wewe si ndio umesema huko msata ambako mimi napaota wewe umeshapita kitambo mimi nikakuambia wala sina mpango wa kuwa mwanajeshi ningekuwa nao basi ningeshakuwa miaka mingi, sasa mbona unasema mimi ndio nina dharau tena
Hapo unaposema ww na vilaza wenzio
 
Mkuu kwani wewe ni mgeni jf humu watu wanakujibu kulingana na ulivyokuja, aliyeleta dharau nani wewe si ndio umesema huko msata ambako mimi napaota wewe umeshapita kitambo mimi nikakuambia wala sina mpango wa kuwa mwanajeshi ningekuwa nao basi ningeshakuwa miaka mingi, sasa mbona unasema mimi ndio nina dharau tena
Ndomana Awali nilikwambiaje ndugu humu kn watu watakuw wana type huku wameshika chupa za jamaa mwnye mikono miwil juu katunisha misuli..huwez ukakosolewa afu useme una andamwa yan umeanzish ugomv afu umepigwa unaanz kuita msaada
 
Mimi ningekuwa nina mpango wa kuwa mwanajeshi ningeshakuwa kitambo tena sasa hivi ningekuwa captain, maana chance nilikuwa nayo tangu naingia jkt kwa mujibu wa sheria ila sikuhitaji, wewe na vilaza wenzio ndio mlikuwa mnaiota kihangaiko

Ndio maana umesota kote huko mara mujibu mara chuo mara urudi tena kujitolea sababu hukuwa na connection

Wale wenzio wenye connection wala hawasoti miaka yote hiyo
basi tuseme hivi hawa wenzako waliopita mujibu wakaenda chuo na saiv wanalitaka Tena jeshi Ni vilaza pia
 
Ndomana Awali nilikwambiaje ndugu humu kn watu watakuw wana type huku wameshika chupa za jamaa mwnye mikono miwil juu katunisha misuli..huwez ukakosolewa afu useme una andamwa yan umeanzish ugomv afu umepigwa unaanz kuita msaada
siwez nikashindwa batlle na watu nliowazid kila kitu mm mwnyw vawulence naziweza nlichokua namwambia huyo dg Hapa tunabisha wengi kwann ananipoint mm aache kua na double standards ka Ni ushauri angetoa kwa wote
 
Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
 
Wakuu nina swali kidogo...maana nasikia sikia tu hayajaiva haya....hv askari aliyeiva anatakiwa kuwaje, au anatakiwa kuwa na vigezo gani kuonyesha kuwa huyu kweli kaiva askari....
Habishani kama wanavyobishana humu ndani yeye anatoa tu Muongozo mtizame Bro Afande Dystonia7
 
siwez nikashindwa batlle na watu nliowazid kila kitu mm mwnyw vawulence naziweza nlichokua namwambia huyo dg Hapa tunabisha wengi kwann ananipoint mm aache kua na double standards ka Ni ushauri angetoa kwa wote
Basi ndugu nisame mimi ila mim nimekuomba ujifanye mjinga ili hii mada ife mana naona mshaanza kufika mbali

Pia umundani tupo wengi ambao wanatamani sana izi nafasi za kijeshi

Mkianza kuvimbiana na kuanza kuoneshana kua nyie mna connection za kupata izo nafasi mnakosea mana mnakua mnafanya watu wengine wajione hawana bahati na izi kazi

chamsingi narudia tenna ebu tupeana taharifa za mafanikio na sio majibishano ambayo hayana faida wee kaa kimya utaona kama kuna mtu atakuja kuongea tenna izo mada
 
Basi ndugu nisame mimi ila mim nimekuomba ujifanye mjinga ili hii mada ife mana naona mshaanza kufika mbali

Pia umundani tupo wengi ambao wanatamani sana izi nafasi za kijeshi

Mkianza kuvimbiana na kuanza kuoneshana kua nyie mna connection za kupata izo nafasi mnakosea mana mnakua mnafanya watu wengine wajione hawana bahati na izi kazi

chamsingi narudia tenna ebu tupeana taharifa za mafanikio na sio majibishano ambayo hayana faida wee kaa kimya utaona kama kuna mtu atakuja kuongea tenna izo mada
basi mm nimeacha kubishana tujadili Mambo mengine uungwana Ni vitendo
 
basi tuseme hivi hawa wenzako waliopita mujibu wakaenda chuo na saiv wanalitaka Tena jeshi Ni vilaza pia

Yan me nachoona we jamaa unaumia kusikia mujibu wanajua mambo zaidi yako au wanakazi nzuri au cheo zaidi yako
Acha wivu Mzee huyo huyo unayemuona mujibu ipo siku utampigia saluti
Case closed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom