pandemik
Member
- Sep 14, 2021
- 59
- 37
M nimetumia Ems mku
M nimetumia Ems mku
Bora bora polisi, mana polisi wanatoaga nafasi nyingi kidogo.. Uhamiaji nafasi zao ni chache kwahyo hata probability ya kukosa ni kubwaKaka Ukiitwa kote,utaenda wap usaili?
Ndio nyie barua zenu zinapelekwa moja kwa moja zikiwa kwenye bahasha maalumuM nimetumia Ems mku
mkuu uhamiaji pekee inagusa karibia 40000 hvi ukituma kwa EMS. kopies za vyeti,muhuri wa mahakama,Passport,utambulisho wa serikali za mtaa,nauli za hapa na pale +medical report attachment. na ukitoa kaladi vyeti ndio kabisaaMi nawaza itakuwa labda polisi wamekataa barua kutuma posta
Kwa sababu labda barua wazichambue huko huko mikoani ndio ziende Dodoma maana sio kila aliyetuma maombi ataitwa
Au hawataki kwenda posta kukusanya barua bado warudi tena waanze kuzichambua hivyo hawataki usumbufu
Ila hatuwezi jua ila nimeshangaa tu huo utaratibu ni mzuri lakini miaka ijayo kwa majeshi mengine wafanye hivyo umewapunguzia gharama maana ingewatoka kama 30, 000 kwa wale wa ems kwa uhamiaji + polisi
Duuh aiseem
mkuu uhamiaji pekee inagusa karibia 40000 hvi ukituma kwa EMS. kopies za vyeti,muhuri wa mahakama,Passport,utambulisho wa serikali za mtaa,nauli za hapa na pale +medical report attachment. na ukitoa kaladi vyeti ndio kabisaa
mkuu uhamiaji pekee inagusa karibia 40000 hvi ukituma kwa EMS. kopies za vyeti,muhuri wa mahakama,Passport,utambulisho wa serikali za mtaa,nauli za hapa na pale +medical report attachment. na ukitoa kaladi vyetiMi nawaza itakuwa labda polisi wamekataa barua kutuma posta
Kwa sababu labda barua wazichambue huko huko mikoani ndio ziende Dodoma maana sio kila aliyetuma maombi ataitwa
Au hawataki kwenda posta kukusanya barua bado warudi tena waanze kuzichambua hivyo hawataki usumbufu
Ila hatuwezi jua ila nimeshangaa tu huo utaratibu ni mzuri lakini miaka ijayo kwa majeshi mengine wafanye hivyo umewapunguzia gharama maana ingewatoka kama 30, 000 kwa wale wa ems kwa uhamiaji + polisi
kutafuta kazi ni kazi balaa cost kama zoteDuuh aisee
uhamiaji bro.Kaka Ukiitwa kote,utaenda wap usaili?
Tukutane Boma chap 😂😂😂nimebadili mawazo ya ccpMwaka uishe tu yani mtaani nimepachoka Sana,naona siku ya kwenda kozi nitakuwa wale wa kwanza kwanza
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
Mwaka uishe tu yani mtaani nimepachoka Sana,naona siku ya kwenda kozi nitakuwa wale wa kwanza kwanza
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
Usijali mkuu...nikiwa pale uhamiaji mwakani tutalisimamia hilo 😁Mi nawaza itakuwa labda polisi wamekataa barua kutuma posta
Kwa sababu labda barua wazichambue huko huko mikoani ndio ziende Dodoma maana sio kila aliyetuma maombi ataitwa
Au hawataki kwenda posta kukusanya barua bado warudi tena waanze kuzichambua hivyo hawataki usumbufu
Ila hatuwezi jua ila nimeshangaa tu huo utaratibu ni mzuri lakini miaka ijayo kwa majeshi mengine wafanye hivyo umewapunguzia gharama maana ingewatoka kama 30, 000 kwa wale wa ems kwa uhamiaji + polisi
Kaka ulivyouliza hilo swali..una imani kubwa sana aise
Hamna ndugu zanguni me nmeuliza ivyo maana vigezo vyote najiona nimefit na naimani katika Mungu sema napenda sana TPDf shida inakuja njaa ya kitaani inafanya nijaribu kotekote.itakua ana connection mkuu
Ubaya vyeti vyote vipo dar na sasahvi gharama ya kusafirisha ni 10k so nikijumlisha na magharama ya maombi na kilakitu naona napigika so kitoto.Kama ni polisi hawajataka barua ya utambulisho
Kama ni uhamiaji utaandika utambulisho popote ulipo kama vyeti vyako unavyo hapo kwa nini usiandikie huko huko ulipo
Maana kama ni usaili ni Dodoma tu hata barua ikutambulishe unatoka wapi hamna usaili mkoani wala wilayani
Kila la heri mkuu umeshapata ajira serikari inakutambua, sisi tunabaki kuangaika huku mtaaniMwaka uishe tu yani mtaani nimepachoka Sana,naona siku ya kwenda kozi nitakuwa wale wa kwanza kwanza
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
mkuu ni mgeni wa kuomba ajira online. vyeti mtu ana viscan anakutumia kwa wasap,emails nk then ww utaprinti utume . mbona rahisi tu afsa ama kitaa kimekuchapa umesahau mpaka taratibu za kufata.Ubaya vyeti vyote vipo dar na sasahvi gharama ya kusafirisha ni 10k so nikijumlisha na magharama ya maombi na kilakitu naona napigika so kitoto.
AJIRA NGUMU SANA ACHA HIZI
TPDF hawatoi nafasi mzee utasikia tuu watu wanaripoti kimyakimya kama upo mfatiliaji makambi ya jkt utaziskia,zinazo natangazwa ni zile special course tuu nazo skuiz hawatangazi wanachukua vyuoni na mujibu wa sheria,,kuna ronja ipo ila inahitaji uvumilivu kama sio mvumilivu polisi na uhamiaji zipo kwajili yetuHamna ndugu zanguni me nmeuliza ivyo maana vigezo vyote najiona nimefit na naimani katika Mungu sema napenda sana TPDf shida inakuja njaa ya kitaani inafanya nijaribu kotekote.
Nachohofia chama la wana linaweza kutema nafasi nyingi nikajikuta nmeenda sehemu ambayo moyo hauna furaha.
MAISHA YETU MAGUMU NDO YANAFANYA TUFANYE MAAMUZI AMBAYO HATUYARIDHII.
Nasikia wanataka zitumwe kwa njia ya kawaida , though mwenyewe nimetuma kwa EmsM nimetumia Ems mku
Sijawahi omba ajira kwa online mkuu, Ahsante sana kwa ufafanuzi.mkuu ni mgeni wa kuomba ajira online. vyeti mtu ana viscan anakutumia kwa wasap,emails nk then ww utaprinti utume . mbona rahisi tu afsa ama kitaa kimekuchapa umesahau mpaka taratibu za kufata.
Nina dem yupo makutupora Dom yeye ndo ananijuza kuhusu TpdfTPDF hawatoi nafasi mzee utasikia tuu watu wanaripoti kimyakimya kama upo mfatiliaji makambi ya jkt utaziskia,zinazo natangazwa ni zile special course tuu nazo skuiz hawatangazi wanachukua vyuoni na mujibu wa sheria,,kuna ronja ipo ila inahitaji uvumilivu kama sio mvumilivu polisi na uhamiaji zipo kwajili yetu
dont confuse EMS is not hand delivery mode ,EMS is fast&secured mode and deliver packages to destined post authority and its worldwide accepted means. na huu mjadala tume usuluhisha humu kablaNasikia wanataka zitumwe kwa njia ya kawaida , though mwenyewe nimetuma kwa Ems
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha, usijali kiongozi kokote Kambi tu ,me nikichaguliwa CCP fresh,wakinichagua kwenda uhamiaji poa pia tena poa Sana sababu nimebaki mkoa wangu wa Tanga na costs zitakuwa ndogo sanaTukutane Boma chap nimebadili mawazo ya ccp