mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,467
- 5,639
GOD Awe na sisi
mkuu uhamiaji huwa soon after deadline. polisi tutasubiria zaid ya miezi miwili hpooHawatapishana sana....process nzima hadi majina kutoka huwa inachukua kama miezi miwili hivi. Mwaka jana Polisi tangazo walitoa Sept kama sikosei watu wakaingia kambini mwishoni mwa october