Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,061
Ronjaaa isiyo na UMUHIMU.Vijana mlioomba huu ni wakati wa..
1.Kuwa makini.. Rushwa ndo inatembea Sana kipindi hiki, UNAWEZA UKATAPELIWA.
2.Sio kila taarifa/swali ni la msingi.. KUNA WATU WANATAMANI KUWATOA NJE YA RELI (Wengine wapo JF wengine mtaani kwako)
3.MTANGULIZE MUNGU.. Atakuvusha.
Ila wapo ambao wametapeliwa, wapo waliokatishwa tamaa, wapo waliomtumikia QAFIR/SHETANI ili chat zao zipande.
Yote tisa, kumi tutubu na tujaribu wakati mwingine huku tukimtanguliza Mungu.
Awiiiiiih....