mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Nini hiloooAwiiiiii....
Hili apaaa
Nini hiloooAwiiiiii....
Hili apaaa
Humu ni Lonja tuuu tufurahi Vijana weekend na kuendelea mambo yawe poaaWenye moto mara nyingi ndo huwa wanadema kwenye shimo, ngoja nione hizi ID zenye mteru zitakavyo kua humbled
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Mwenzenu huyu..na hizo ndiyo uniform zenu wakati wote wa kozi.View attachment 1976908
Hii ndio ya Chama la wana unaliitaAu vijana mnataka kivazi hiki over green?View attachment 1976909
*Olive Green (OG)Au vijana mnataka kivazi hiki over green?View attachment 1976909
Sema jeshi la JW nimelipambania sana ile six lakin wap nilitimba hadi ngome.Au vijana mnataka kivazi hiki over green?View attachment 1976909
Usikate tamaa.Ipo siku.Sema jeshi la JW nimelipambania sana ile six lakin wap nilitimba hadi ngome.
Yeah.Hii ndio ya Chama la wana unaliita
Iki kivazi achana nacho kabisaAu vijana mnataka kivazi hiki over green?View attachment 1976909
Kitamu ila process ya kukivaa ndiyo kipengele,machozi,jasho na damu lazima vihusike..Iki kivazi achana nacho kabisa
Mkuu we acha tu....ile niko six kuna mwana tulikuwa tunatanian kwa kuitana makoplo na tulikuwa tukitoka msuli dom lazima tuwapigie kelele za kuunga jeshi mapema tu.......sasa mwaka wetu ule ndo mambo ya military sayanc yalianza na walipita kambi za dodoma(makutopola), mara(RWANKOMA) na tabora(MSANGE) tuUsikate tamaa.Ipo siku.
Mkuu we acha tu....ile niko six kuna mwana tulikuwa tunatanian kwa kuitana makoplo na tulikuwa tukitoka msuli dom lazima tuwapigie kelele za kuunga jeshi mapema tu.......sasa mwaka wetu ule ndo mambo ya military sayanc yalianza na walipita kambi za dodoma(makutopola), mara(RWANKOMA) na tabora(MSANGE) tu
sasa kambi yangu wala ya jamaa yangu hawakaupita so ikatupita kama ivo .......wadau walivyopigiwa simu kidume nikajipeleka ubungo pale lkn wap kumbe kuna majina daaah hafu ule mwaka wadau kibao walikacha maana walichagua watu wenye one na two wa kombi za sayanci so idadi ikawa ndgo nakumbuka walitakiwa watu 460+ hafu wakaenda 250 hv.....nikaenda hadi ngome kuomba lkin sikufanikiwa hapo stil niko chuo.....
Sema ningeenda pale nichukue jina la mtu ambaye namjua hakwenda ningekomaa nao tu.
Mzee ndo nikaamin katika maisha kuna bahati hawa jamaa kimtaani ukiwekwa na ww unaoneka shule ulikuwa kilaza kumbe zali walipitiwa kambi yao wakawa selected....na from there hata madogo tuliowaacha wa dom letu wa fomr five nao wakawa motivated(kuwafungua akili)madogo wawil sahv nao wapo chomboni.Dah sisi pia kambi yetu hawakuchukuaga aisee,kuna mwanangu alikua kambi io ya mara (RWANKOMA) nlipiga nae class moja yeye alipelekwa URUSI kupiga military science dah kila mtu na zali lake aisee...tuombe mungu tu mkuu zamu yetu ipo njiani inakuja
Haukua wakati wako Sahihi.Wakati wa Mungu ndio wakati sahihiSema jeshi la JW nimelipambania sana ile six lakin wap nilitimba hadi ngome.
Haukua wakati wako Sahihi.Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi