Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 998
- 545
Mkuu Usidanganye alaiki,sifa yakupata vyeo vya kiafisa vya polisi:elimu(kuanzia degree),nidhamu(usiwe na mashitaka)+utendaji kazi mzuri(weledi).
Note:Baada ya kutoka depo itampasa askari alitumikie jeshi kwa miaka kadhaa,baada ya hapo mkuu wa jeshi la polisi kulingana na ukubwa wa bajeti anaweza kupendezekeza wale wenye elimu ya juu wakapige kozi ya cheo fulani,hapa inatategemea na matakwa yake.Degree holders wanaweza wakapendekezwa kwenda sgt course au S/sgt au hata kozi ya afisa mkaguzi wa polisi(inspector).
Kwahio mkuu inamaana hata madaktar wakitoka depo wataenda lindo kwa miaka kadhaa..