Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,061
Kitengo Afya
Shukran boss, nimeona ziko 28 operating facilities under Police ownership according to Ministry of Health
Yes, those qualified HCP's will be distributed among those facilities.Shukran boss, nimeona ziko 28 operating facilities under Police ownership according to Ministry of Health
HahahahahNi mtu mmoja hiyo I'd 2 nishamsoma
HahahaHahahahah
Uzi wenyewe una wachangiaji main wawili.. huyo mmoja ana ID Kama 6.
Hao tunawaita wazee wa "kubasti"
Tupeni lonja mandata
Sawa.Chief kada ya afya wengi wamepigiwa simu leo waende jtatu kwenye usaili kwenye hosp yao pale kilwa road wakiwa na vyeti vyote na kwa ajili ya vipimo.Hakuna utapeli hapo
Hahahahahaah sio kitotoHizo lonja zenyewe zinazo tolewa humu ni kisanga nyie watoto wa mujibu wa sheria mnatabu sanaaa
Mtuvumilie tu maana hata NS tunaenda kwa mujibu wa sheria.Hizo lonja zenyewe zinazo tolewa humu ni kisanga nyie watoto wa mujibu wa sheria mnatabu sanaaa
Usaili bado upo hadi sahiv tangaMe barua nimeandika kwa mkono na passport zangu tatu nimeziambatanisha vyeti vyangu vya shule form six na four na cheti cha jkt pamoja na leaving ya form four pekee pia na form ya hospital nimeambatanisha hadi kitambulisho cha Nida..uzuri pale tanga siku ya kwanza kwenda unajijua Kabisa mana wanachuja Kabisa vyeti kabla hujaitwa usaili wowote hii ingekuwa mikoa yote ingekuwa Safi Sana mkuu.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tupe na weweMtuvumilie tu maana hata NS tunaenda kwa mujibu wa sheria.
Ila wenyewe wanasema sifa "kubanchi".. tutakomaa hapahapa wote.
Tupeni lonja mamwela
Luka 3:14Tupe na wewe
Mkuu samahan fungua pm naitaji uelekezi kidogoMe barua nimeandika kwa mkono na passport zangu tatu nimeziambatanisha vyeti vyangu vya shule form six na four na cheti cha jkt pamoja na leaving ya form four pekee pia na form ya hospital nimeambatanisha hadi kitambulisho cha Nida..uzuri pale tanga siku ya kwanza kwenda unajijua Kabisa mana wanachuja Kabisa vyeti kabla hujaitwa usaili wowote hii ingekuwa mikoa yote ingekuwa Safi Sana mkuu.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Duuh kumbe watu wameishapigiwa simu tayar,, me kada ya afya nilituma makao makuu sijaona kupigiwa simu au ndo hvyo nitakua nimechinjiwa baharinILA UKWEL NI KWAMBA WATU WASHAANZA KUPIGIWA SIMU WALIOTUMA MAKAO MAKUU . .. SASA HAIJULIKANI WAMEPIGIA WOTE AU NI KWA KADA MOJA TU YA AFYA
Duuh kumbe watu wameishapigiwa simu tayar,, me kada ya afya nilituma makao makuu sijaona kupigiwa simu au ndo hvyo nitakua nimechinjiwa baharin
Me binafsi sijapgiwa simu mkuu,, sasa sijui labda nitakua nimechinjiwa baharin,, sijaona hata missed call aisehWatu walisema humu jana kua kishasanuka ila wakaonekana matapeli ..
Me binafsi sijapgiwa simu mkuu,, sasa sijui labda nitakua nimechinjiwa baharin,, sijaona hata missed call aiseh
Duuh basi sawa itakua sio bahat yangu maana kama kila kitu niliwekaLabda wamepigiwa wailo kidhi vigezo tu,ko kama hujapigiwa simu ikipita leo ujue nafasi umekosa sababu usaili ni JUMATATU kurasini...
Hahahaha Lonja za humu Zina vituko sanaLabda wamepigiwa wailo kidhi vigezo tu,ko kama hujapigiwa simu ikipita leo ujue nafasi umekosa sababu usaili ni JUMATATU kurasini...
ThibitishaaILA UKWEL NI KWAMBA WATU WASHAANZA KUPIGIWA SIMU WALIOTUMA MAKAO MAKUU . .. SASA HAIJULIKANI WAMEPIGIA WOTE AU NI KWA KADA MOJA TU YA AFYA
Wa afya Wamepigiwa kweli mkuu nadhan wanaambiwa wafike hospital ya polisi kilwa road karibu na jkt mgulani wakiwa na vyeti og, kama itakua ni matapeli Basi watawakusanya wengi Sana, kama Kuna yupo uku ataweza kuelezea kama kweli hospital ya polisi ipo maeneo hayoDuuh kumbe watu wameishapigiwa simu tayar,, me kada ya afya nilituma makao makuu sijaona kupigiwa simu au ndo hvyo nitakua nimechinjiwa baharin