Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Fanya mpango nasikia wa 4 zinatoka direct JWTZ (Hapa mpaka uwe na mawasiliano na mwanajeshi wa JW akupe utaratibu), na huwezi kurudi tena JKT mana utakuwa una'bust kozi.
Direct watakuja mtaani au wataenda jkt, mwaka juz walichukua vyuoni direct sijui mwaka huu. Kama una taarifa mkuu nijuze
 
Jwtz, watu wanafuata mishahara mirefu tu cyo uzalendo.
Umesema kweli kabisa kuna jamaa zangu wamepiga miaka kadhaa now ni wajasiriamali mmoja ana bekari kubwa na supplier mzuri wa mikate na keki hapo dodoma na mwingine kaingia kwenye siasa ni diwani (ccm)
 
Direct watakuja mtaani au wataenda jkt, mwaka juz walichukua vyuoni direct sijui mwaka huu. Kama una taarifa mkuu nijuze
Huwezi enda JW bila kupta JKT, wanaoenda JW ni wale walopita JKT kisha chuo labda mana hawa wa JKT hawarud tena JKT. Kuhusu utaratibu wa mwaka huu siwez fahamu lakn nikpata nyepesi ntakujuza mkuu.
 
Fanya mpango nasikia wa 4 zinatoka direct JWTZ (Hapa mpaka uwe na mawasiliano na mwanajeshi wa JW akupe utaratibu), na huwezi kurudi tena JKT mana utakuwa una'bust kozi.
Zaidi ya Madaktari na Wataalamu wa Afya JWTZ haina Direct Recruit.....Mpaka upite JKT..msidanganyane
 
Ila kwa hapo mujibu wa sheria kurudi tena jeshi inabidi wizara yenye dhamana itoe maelezo na utaratibu wa kuingia tena huko jwtz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom