Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

mbona unataka kwenda kujitesa bure binti
ubaya wa hili jeshi ukitune akila yako unataka ajira unalitaka utateseka sana utolipata cha msingi kufungua moyo kunywa maji mengi tuu maisha magumu mtaani mwache aendee...
 
Jamaa yangu tulipiga naye mujibu wa sheria tukamaliza ila yeye alipenda kurudi jkt akaomba nafasi za kujitolea akapata akapangiwa bulombora ile kufika wakakuta alishapita jkt wakamrudisha wakamwambia jkt haipigwi mara mbili
mmmmmmh c kwel8 uyo alikuwa na matatizo tuu binafsi walitumia njia iyo kumtoa...
 
Kwa hiyo mkuu unataka sema aliyepitia mujibu wa sheria anaweza rudi jakata kama kawa ili aendelee na hatua zingine!!!!!!
Ndio mm ushahidi ninao kuna dogo ni private nw alienda mujibu 2013 alivyotoka apo akakosa nafasi chuo ikabidi aingie tena JKT kujitolea 2014 operation muungano na alikubaliwa frsh tuu uyo dogo nw ni private yuko kwnye harakati za kwenda cadet soon anauvaa uwafisa.....
 
mujibu wa sheriavile ni rasharasha tuu kufundishwa uzarendo bac ila kujitolea ndo mpango mzima.
 
Haaaa aisee laki saba parefu sana mkuu but nimesikia tetesi kuwa mwezi wa ta

Mkuu laki saba parefu sana aisee but nimesikia tetesi kuwa watatoa nafasi mwezi wa 4 ila mchakato utachukua mwezi mmoja so watu wataingia makambini mwezi wa 5
vip mkuu nafasi za jkt hazijatoka au 2017
 
Na walioharisha kozi kwa mujibu wa sheria ili waende chuo wanaweza kurenew mkataba baada ya kumaliza chuo au ni mpaka Tangazo litoke tena?
 
Tulia mkuu bado sana hawa walioenda wamefungua kozi juzi tu watamaliza around June 2017 tegemea nafasi kutoka ni mwezi wa saba andaa pesa ya kuhonga isiyopungua laki saba
Laki saba parefu sema ndo nchi yetu ishakua ivo hakuna jinc zaid ya kukubaliana na hali..... ukitaka vya halali utachelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom