Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
haiwezekani kufanya kozi ya jkt mara mbili mkuu elewa hivyo.HAIRUHUSIWI KURUDIA KOZIJidanganye sasa mjibu wa sheria haina inshu mwache anaende kama wa kujitolea mbona wengi tu wanarudi
haiwezekani kufanya kozi ya jkt mara mbili mkuu elewa hivyo.HAIRUHUSIWI KURUDIA KOZIJidanganye sasa mjibu wa sheria haina inshu mwache anaende kama wa kujitolea mbona wengi tu wanarudi
Duuh ni hatari aiseeh kwahvyo tusibiri tuone sio!!Mkuu kumbuka shughuli zote za serikali zinazogusa wananchi zimesimama mpaka watumishi Hewa waishe. Bado wanajaza matumbo yao wakubwa
Ndiyo mkuuDuuh ni hatari aiseeh kwahvyo tusibiri tuone sio!!
Kama ingekua ivyo mkuu, mwaka Jana mwezi Wa kumi na moja jeshi lisingechukua watu kufanya mafunzoMkuu kumbuka shughuli zote za serikali zinazogusa wananchi zimesimama mpaka watumishi Hewa waishe. Bado wanajaza matumbo yao wakubwa
Mkuu nachokuambia huamini? Subiri wengine waje watakuambia. Je,wajua precadate wote 162 wametunzwa tu pale makao makuu bila kupelekwa monduli kumalizia kozi?
Ukipata jibu relax.
Duuuh for sure it means wale ambao walichukuliwa november mwaka jana wapo tuu.Kama ingekua ivyo mkuu, mwaka Jana mwezi Wa kumi na moja jeshi lisingechukua watu kufanya mafunzo
fanya tuuu mambo yako mengine mkuu.....nafasi hizo mwaka huu....hakuna kabisaHabari wana JF ningependa kujua nafasi za JKT zinatoka lini kwa mwaka huu aisee naombeni msahada??
Kuna ukweli kuhusu hii kitu kwamba jkt mwaka huu haita chukua vijana ??fanya tuuu mambo yako mengine mkuu.....nafasi hizo mwaka huu....hakuna kabisa
kama huamini mkuu endelea kupoteza muda kuzifatilia....Kuna ukweli kuhusu hii kitu kwamba jkt mwaka huu haita chukua vijana ??
Kwasababu gani hakuta kuwa na nafasi hizo mwaka huu mkuu!!fanya tuuu mambo yako mengine mkuu.....nafasi hizo mwaka huu....hakuna kabisa
Itabidi niende makao makuu nikaulizo aseeNenda kaulize jeshini
Itabidi niend makao makuu aiseeNenda kaulize jeshi mkuu....watakupa maelekezo mazuri tu...kama jkt nenda makao makuu ya jkt