hythamuking
Member
- Dec 18, 2016
- 43
- 18
wewe unasema bajeti hairuhusu kama nani?, wewe ni waziri wa fedha?,acheni kukurupukaa![color]bajeti hairuhusu....chi haina pesa hata kidogo
wewe unasema bajeti hairuhusu kama nani?, wewe ni waziri wa fedha?,acheni kukurupukaa![color]bajeti hairuhusu....chi haina pesa hata kidogo
I think still alkuwa wrog, alitakuwa kuuliza program gani aliyosoma, na sio kitivo/college.
Nasubir jib la swali hiliNa walioharisha kozi kwa mujibu wa sheria ili waende chuo wanaweza kurenew mkataba baada ya kumaliza chuo au ni mpaka Tangazo litoke tena?
Bilashaka alikua anamaanisha amesoma faculty ganj,inamaana hiyo kama ni digrii programme kaisomea kwenye kitivo/college ipi.I think still alkuwa wrog, alitakuwa kuuliza program gani aliyosoma, na sio kitivo/college.
Hzo za kutoka mwaka huu au za mwaka Jana...??Sisi uku kibaha tunaondoka jumamosi kwenda kambini
Mkoa gani huo..??zishatoka mbona
Mkoa gani huo..ze dudu
hahah anataka kujijibu mwenyeweMwanangu unaonekana umepanic...
Mpaka unaamua kuji Quote mwenyewe (post #6 hapo juu)
Anyway, kwa Dar ambako naishi sijasikia aisee... Nina jamaa zangu wako pale JKT Kawe lazima wangenitonya tuu
keshoWana JF wenzangu,
Naomba kuuliza kuhusu nafasi za JKT, huku kwetu bado sijui huko mkoani kwenu kama zimetoka na kama bado kuna mwenye taarifa yoyote kuhusu nafasi hizi kutoka mwezi wa ngapi?