Aloycepriva
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 196
- 75
Hiv kuna kitengo cha camer a man ...kwenye maswala ya kushting...hko
Makovu makubwa ambayo ni ya operations.. Lakini makovu madogo madogo ya mikwaruzo hayana shida unapokelewa tunatoka hapa ni makovu ya aina gani Na ya sehemu zipi yasiyoruhusiwa jeshini?
MwakeMakovu makubwa ambayo ni ya operations.. Lakini makovu madogo madogo ya mikwaruzo hayana shida unapokelewa tu
.
Na kama mtu amepitia jkt kisha akanda university na sasa anshitaj kujiunga anafanyajeHuwa wanachukua jakata direct kama unasubiri mtaani imekula kwako
Mfano umesoma faculty gani ?Na kama mtu amepitia jkt kisha akanda university na sasa anshitaj kujiunga anafanyaje
Wadau nafasi za kujiunga na jesh
Zinatoka lini
Amesema kashapita jkt halafu akaenda chuoKajiunge JKT kwanza, nafasi itakukuta ukiwa unahenya.
E. ToursmMfano umesoma faculty gani ?
Tourism jeshini nenda jkt kama wa kujitolea ndoo unaweza pata chanceE. Toursm
Poa nimekuelewaTourism jeshini nenda jkt kama wa kujitolea ndoo unaweza pata chance
Faculty? Duuh wasomi wa Tanzania mtu Inaweza Kusoma Faculty?Mfano umesoma faculty gani ?
uwe unafuatilia mtandaoni mara kwa mara utayajua hayoWadau nafasi za kujiunga na jesh
Zinatoka lini
Hawezi kwenda kozi ya jkt mara mbili.Tourism jeshini nenda jkt kama wa kujitolea ndoo unaweza pata chance
Jidanganye sasa mjibu wa sheria haina inshu mwache anaende kama wa kujitolea mbona wengi tu wanarudiHawezi kwenda kozi ya jkt mara mbili.
Jamaa yangu tulipiga naye mujibu wa sheria tukamaliza ila yeye alipenda kurudi jkt akaomba nafasi za kujitolea akapata akapangiwa bulombora ile kufika wakakuta alishapita jkt wakamrudisha wakamwambia jkt haipigwi mara mbiliJidanganye sasa mjibu wa sheria haina inshu mwache anaende kama wa kujitolea mbona wengi tu wanarudi