Team Samia
Member
- Jan 9, 2022
- 16
- 13
Kwanza niwapongeze kwa kazi nzuri sana mnayofanya, kwangu nyie ndo taasisi bora zaidi Tanzania hii.
Nikija kwenye mada, lini mtatangaza ajira ?
Mwaka uliopita 2021 walianza Polisi, wakaja Magereza, kisha Uhamiaji na mwisho Zimamoto.
Mwaka huu (2022) mwanzoni Uhamiaji wakatangaza tena.
Kulikoni JWTZ? Mbona kimya.
Kwa unyenyekevu kabisa naomba kuwajulisha kuwa kuna vijana wengi mtaani katika makundi tofautitofauti ambao wanasifa za kujiunga na jeshi.
1. Wapo ambao wamemaliza kidato cha nne ambao hawajabahatika kwenda JKT ila sifa zote wanazo.
2. Wapo waliomaliza kidato cha sita ila hawakubahatika kuchaguliwa jkt kwa mujibu wa sheria kwa sababu ya ukosefu wa nafasi makambini ila wana sifa na moyo wa kulitumikia jeshi letu.
3. Mwisho ni kundi la wasomi wa ngazi ya shahada/ stashahada nk ambao baada ya kuhitimu masomo yao wangependa kujiunga na jeshi.
4. Walioenda jkt kisha muda wao ukaisha wakarudi mtaani.
Kukaa kwenu kimya ni kuyanyima makundi yote hayo fursa.
Pamoja na kwamba kuna vijana kwenye kambi mbalimbali za JKT, vijana walio mtaani nao wana haki na ndo wengi zaidi.
Tangazeni ajira kisha iwepo free and fair competition.
Hata hivyo kama utaratibu wenu wa ajira umebadila muujulishe uma kuliko kukaa kimya.
Jenerali Venance Mabeyo na timu yako naamini kuwa nyie ni weledi na mtalifanyia kazi hili.
Nikija kwenye mada, lini mtatangaza ajira ?
Mwaka uliopita 2021 walianza Polisi, wakaja Magereza, kisha Uhamiaji na mwisho Zimamoto.
Mwaka huu (2022) mwanzoni Uhamiaji wakatangaza tena.
Kulikoni JWTZ? Mbona kimya.
Kwa unyenyekevu kabisa naomba kuwajulisha kuwa kuna vijana wengi mtaani katika makundi tofautitofauti ambao wanasifa za kujiunga na jeshi.
1. Wapo ambao wamemaliza kidato cha nne ambao hawajabahatika kwenda JKT ila sifa zote wanazo.
2. Wapo waliomaliza kidato cha sita ila hawakubahatika kuchaguliwa jkt kwa mujibu wa sheria kwa sababu ya ukosefu wa nafasi makambini ila wana sifa na moyo wa kulitumikia jeshi letu.
3. Mwisho ni kundi la wasomi wa ngazi ya shahada/ stashahada nk ambao baada ya kuhitimu masomo yao wangependa kujiunga na jeshi.
4. Walioenda jkt kisha muda wao ukaisha wakarudi mtaani.
Kukaa kwenu kimya ni kuyanyima makundi yote hayo fursa.
Pamoja na kwamba kuna vijana kwenye kambi mbalimbali za JKT, vijana walio mtaani nao wana haki na ndo wengi zaidi.
Tangazeni ajira kisha iwepo free and fair competition.
Hata hivyo kama utaratibu wenu wa ajira umebadila muujulishe uma kuliko kukaa kimya.
Jenerali Venance Mabeyo na timu yako naamini kuwa nyie ni weledi na mtalifanyia kazi hili.