Mremaaa
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 293
- 325
Nashukuru kwa ufafanuzi Mkuu naomba tupeane update maana mim pia natamani kujiunga nina Diploma ya AfyaDah!! Kaka kutokana na kusitishwa kwa ajira hiv karibuni ili kupisha uhakiki wa vyet japo haukupita jeshini,pia jeshi lilisimamisha ajira pia,hivyo tutarajie mwez wa saba hivi mara baada ya ajira mpya kutangazwa
kitaifa sababu kuna operations kama m
bili hiv kama sio tatu bado hazijaajiriwa so kuna foleni ijapokuwa JWTZ imeshaajiri ila bado kuwapeleka wahusika katk makambi yao ya JWTZ hivyo mara baada ya kufanya hivyo bas watu wengne wataitwa i mean wakujitolea