Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Ndio mnaohitajika sana katka hospitali za kijeshi kama vile lugalo,so kinachomata ni umri wako na damu yako kama ipo salama au laa.
mwezi wa kumi mwaka huu natimiza miaka 23 vp kwa miaka hio naweza nikakubaliwa na damu yangu ipo fresh t
 
kwa ushauri wangu wana JF tujaribuni kupeana taariza za kwel maana wengine hatuna baba kantuma hapa ambaye anaweza akanipa taariza za kwel zaidi. mkuu kasema tukae makini taarifa za JKT zinatoka je ni kwel au nae anahisi tu? plz tusiongee mahisio yetu tu .
 
Kwa sasa
mwezi wa kumi mwaka huu natimiza miaka 23 vp kwa miaka hio naweza nikakubaliwa na damu yangu ipo fresh t
Kwa sasa umri wako upo sawa,hivyo pigania nafasi zitakazotangazwa hivi punge,sababu wenye for4 had darasa la saba wanatakiwa wawe na umri kati ya miaka 18-23 na ww upo hapo,ukikosa tu intake hii usubir intake ya mwez wa kumi na mbili nayo ukikosa tu jipange kubadilisha umri na kama itawezekana.
 
Kwa sasa

Kwa sasa umri wako upo sawa,hivyo pigania nafasi zitakazotangazwa hivi punge,sababu wenye for4 had darasa la saba wanatakiwa wawe na umri kati ya miaka 18-23 na ww upo hapo,ukikosa tu intake hii usubir intake ya mwez wa kumi na mbili nayo ukikosa tu jipange kubadilisha umri na kama itawezekana.
Mkuu tunategemea intake lini hapa karibuni ?
 
Mkuu tunategemea intake lini hapa karibuni ?
Dah!! Kaka kutokana na kusitishwa kwa ajira hiv karibuni ili kupisha uhakiki wa vyet japo haukupita jeshini,pia jeshi lilisimamisha ajira pia,hivyo tutarajie mwez wa saba hivi mara baada ya ajira mpya kutangazwa

kitaifa sababu kuna operations kama m
bili hiv kama sio tatu bado hazijaajiriwa so kuna foleni ijapokuwa JWTZ imeshaajiri ila bado kuwapeleka wahusika katk makambi yao ya JWTZ hivyo mara baada ya kufanya hivyo bas watu wengne wataitwa i mean wakujitolea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom