mwayungi
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,814
- 3,084
Umeambiwa zipo vituoni vya police sharti uende kuuliza uache uogaEeeeh,,,,,,kituo cha police jamaa nikiwauliza si nitapata vitasa vya kutosha maana wanatisha sana
Umeambiwa zipo vituoni vya police sharti uende kuuliza uache uogaEeeeh,,,,,,kituo cha police jamaa nikiwauliza si nitapata vitasa vya kutosha maana wanatisha sana
nimeenda kuulizia vituo 3 vya polisi wananiambia nafasi za jeshi la polis hazijatoka au mnisaidie hizo mlizozisikia zipo mkoa gan mie nipo marandio mkuu ni kusoma na mazoezi tu mpk miezi 9 iishe
jaman kwa watakaozisikia haraka tujuzane plzNdugu
nafasi za jkt zinafikia kwa wakuu wa mikoa na wilaya
kuweni macho muda si mrefu kitawaka
mkuu si hazijatoka ni washagawana kama maindi ya msaada mkuu na rushwa. na kujuana vimetaaka kwnye kila sectornimeenda kuulizia vituo 3 vya polisi wananiambia nafasi za jeshi la polis hazijatoka au mnisaidie hizo mlizozisikia zipo mkoa gan mie nipo mara
Hahaha!! Brother you made my day.Fanya mpango nasikia wa 4 zinatoka direct JWTZ (Hapa mpaka uwe na mawasiliano na mwanajeshi wa JW akupe utaratibu), na huwezi kurudi tena JKT mana utakuwa una'bust kozi.
Hata kama zimetoka ila ni lazima ujibiwe hivyo nilimuuliza kijana fulani FFU mkoa fulani alinambia zipo mikoani bado hawajapanga vigezo vya wanaohitajika tulia kijana ikiwa tayari utajua ingawa unaweza kuzikosanimeenda kuulizia vituo 3 vya polisi wananiambia nafasi za jeshi la polis hazijatoka au mnisaidie hizo mlizozisikia zipo mkoa gan mie nipo mara
Usijali tutakujulisha mkuu kama zikitangazwajaman kwa watakaozisikia haraka tujuzane plz
Hahahaaaaa,,,,weweeeemkuu si hazijatoka ni washagawana kama maindi ya msaada mkuu na rushwa. na kujuana vimetaaka kwnye kila sector
Unamponza mwenzako jibu litakuwa hakuna nafasiUmeambiwa zipo vituoni vya police sharti uende kuuliza uache uoga
Nimenyosha mikono yangu juu labda nisubili miujiza kupata hiyo nafasimkuu si hazijatoka ni washagawana kama maindi ya msaada mkuu na rushwa. na kujuana vimetaaka kwnye kila sector
Kuna mdau alienda kaambiwa hazijatokaUmeambiwa zipo vituoni vya police sharti uende kuuliza uache uoga
Usikate tamaa jombaa,hata mungu hapendi cha msingi ni kupambana tu.Nimenyosha mikono yangu juu labda nisubili miujiza kupata hiyo nafasi
Asante sana mdau kwa kunitia moyoUsikate tamaa jombaa,hata mungu hapendi cha msingi ni kupambana tu.
Nieleze mkuu habari ipi hiyo???Kama una degree ya MD au engineering kuna habari njema kwako
Ppamoja mkuu.Asante sana mdau kwa kunitia moyo
Mh apana ule mfumo wa kuchukua fresh from skul Tayar umezuiliwa kwaio iwe polis au magereza au vyombo vingine vya usalama Wanatukua wanachukua wahitimu wa jktHivi ni kweli wanaweza kuchukua na makapuku toka mitaani,waliotoka shule kidato 4&6??