Zahoro Uchwa
Member
- May 26, 2017
- 48
- 37
Hahahahaha!! Anajiona yeye ndiye mwenye nchi,ila hii inatokana na ujasir unaojengwa ndani ya mtu, yan hata kama una moyo wa huruma au imani vip ukipita jeshi ni lazima ubadilikeDaah sasa huyo wa operation alimaliza kweli course huyo si mshono ulifumuka..?
halafu kwa nini watu wengi wakienda Jeshini wanakuwaga na mikwara sana ya kuna mshkaji mmoja hivi tunapiga nae mazoezi ya kawaida kaingia depo mwakajana na wiki ijayo trh 14 ana graduate kanipigia simu juzi kanitia mkwara kweli kweli mazoezi magumu mara ooh nikirud watanikoma nlicheka sana.
sijui ile mikwara inatokaga wapi kwa kweli