Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Kuweni wapole nafasi zikitoka mtajua ......!!!!.....nchi haitabiriki sasa ...mkulu àkiamka anakuja na new agenda
 
Habari ndugu wana jf
Kama kichwa cha habari kinavojieleza ningependa kuuliza kkuhusu nafasi za JKT za kujitolea mwaka huu zitatoka lini. Mwenye taarifa atujuze ili tujipange vizuri, ahsanteni sana
Jkt hutangaza nafasi baada ya miaka mitatu walitangaza 2013 wakatangaza 2016 subiria 2019
 
Nakuambia ukweli mkuu ukiwa na laki saba keshi huwezi koswa chance ya Jakarta huo ndoo ukweli huamini wewe tumia njia halali utakuja kuniambia
Kumbe hata uko kuna rushwa haaa si police tu duh ila akichukua police kelele uko jeshini kimya au uko imehalalishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom