Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Mwishoe tutapata wanajeshi uchwara ....me nadhani jwtz lijikite kuchukua wahitimu waliobobea kwny teknolojia zaidi ili tuweze kuendana na dunia ya caca kuliko kuchukua mamluki tu yanalingia manguvu ya dona lakin kichwani empty ....japo ndio nguvu muhimu
 
Vijana tufikilie vitu vingine vya kufanya bila hvyo mtapoteza wachumba zenu bure kwa kukosa pesa au kuwa sababishia majaribu mazito, muda unaenda mbio tafuta chochote unacho kijua kupata pesa. Besti yangu mmoja anuwezo mzuri wakutambua mambo japo sio kimazingaombwe yeye akisema marachache sana kukose, aliniambia mwaka mwezi wa kwanza raisi hana mpango wa kuajiri kabisa labda kwakulazimika saana.
Yeye ataajiri miaka miwili ya mwisho ya awamu yake ya kwanza.
Zaidi nikutafuta mashirika binafsi tu ama wewe mwenyewe kujiongeza tu.
Kama unasubira isubirie heri.
 
Vijana tufikilie vitu vingine vya kufanya bila hvyo mtapoteza wachumba zenu bure kwa kukosa pesa au kuwa sababishia majaribu mazito, muda unaenda mbio tafuta chochote unacho kijua kupata pesa. Besti yangu mmoja anuwezo mzuri wakutambua mambo japo sio kimazingaombwe yeye akisema marachache sana kukose, aliniambia mwaka mwezi wa kwanza raisi hana mpango wa kuajiri kabisa labda kwakulazimika saana.
Yeye ataajiri miaka miwili ya mwisho ya awamu yake ya kwanza.
Zaidi nikutafuta mashirika binafsi tu ama wewe mwenyewe kujiongeza tu.
Kama unasubira isubirie heri.
mbona anaajir sasa sema cyo kwa wing.. ..yy kma yy ameamulu madoctor kma 200 waajiliwe pia aliamulu vjana waliopga pared weng wao mgambo waajiliwe ajira zpo sema tusubil bajet ipte tuone itakuwaje ajira zpo ila ni chache sana labda hyoo miaka miwil ya mbisho ya awam yake ndo ataachia ajira kwa wingi
 
wakuu usejili wa jkt unaaza lini ama mwezi ngan tulitengemea mwezi huu ila hadi sasa sijapata habari yoyote,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom