Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Haya we ishi kimazoea tu ila tambua huu ni utawala wa Rais mwingine.
Jeshi ulijui. ungekuwa hata askar mdgo hata junior NCO ungejua cha kusema. kuwa open minded.. usiseme usiyo jua nje ndan
 
Dogo Unachanganya mambo Hakuna Mtu Anae weza Toka Uraiyan Kwenda kupiga Koz Ya TPDF Moja kwa moja

Labda Jeshi Litangaze Kuwa Kuna Uhitaji wa Taaluma Flan Na ni Ya haraka Kama Vile Madereva, Madaktali, na wengine Kadha wa Kadha

Ninacho Kiongea Mim Ni Kuwa Mtu Anaweza Tafutiwa Form Ya JKT Na kwenda Kuripot Sawa Na wale Walio Fanya Usahili Wilayan Na Mikoan

Hii Ndio Form Inayoitwa Baba Kantuma Iyo Ya Kwenda TPDF Moja Kwa Moja Ilishasitishwa Zaman Sana
jamaaa hajajua ishu zilivyo, ila point of correction na kwako pia, sometimes kuna kuwa n special needs huwa wanafanya esp kwa madaktari but very rarey........ila huyo mchiz unaye mpa ABC hajui kuhusu jeshi anahadithiwa nae ana manifest kitu alichosikia
 
jamaaa hajajua ishu zilivyo, ila point of correction na kwako pia, sometimes kuna kuwa n special needs huwa wanafanya esp kwa madaktari but very rarey........ila huyo mchiz unaye mpa ABC hajui kuhusu jeshi anahadithiwa nae ana manifest kitu alichosikia
Nafaham Kama Kuna Special Need

All In All Shukran Kwa marekebisho
 
Na kitendo cha mujibu wa sheria kutangulia kisiwatishe kwan siku zote huwa hivyo,kuna wakati mwingine hukaa hadi wiki tatu then wakujitolea huwasili ata hivyo mafunzo ya mujibu na kujitolea ni tofaut katika muda hivyo huwa hawachanganywi.pia katika mkazo wa mafunzo huwa tofauti,kwa mujibu hulegezwa kidogo na huwa ya haraka haraka ila kwa wa kujitolewa ni fataki had kufarakana.
upo vizur boi
 
Ba

Baba kanituma has been canceled by our president Magufuli for the fact that:vijana weng wa kijijini na wasio na baba au ndugu jeshini hukosa nafasi ingali wana vigezo na sifa zote za kuwa maaskari wazuri,so baba kanituma pia imeongeza watu wasio na sifa kambini utakuta mwanajeshi ana matege nawengne wana magonjwa ambayo hayaonekani kama vile vifua na kadhalika so Rais wetu wa sasa hataki mambo haya kwahiyo watu wote wanatakiwa waingie jkt kwa halali ambayo ni interview kwahyo labda mambo hayo yafanyike hulo katk ngaz ya wilaya na mkoa.
hyo haita wezekana yan ndgu wa mabeo au mwamnyange,au brigedia,Kanal asote kwenye usail hilo futa anatwanga maji kwenye kinu...jeshi haliingiliwi kihvyo ndo maana vyet feki jeshini hawakuguswa
 
Dogo Unachanganya mambo Hakuna Mtu Anae weza Toka Uraiyan Kwenda kupiga Koz Ya TPDF Moja kwa moja

Labda Jeshi Litangaze Kuwa Kuna Uhitaji wa Taaluma Flan Na ni Ya haraka Kama Vile Madereva, Madaktali, na wengine Kadha wa Kadha

Ninacho Kiongea Mim Ni Kuwa Mtu Anaweza Tafutiwa Form Ya JKT Na kwenda Kuripot Sawa Na wale Walio Fanya Usahili Wilayan Na Mikoan

Hii Ndio Form Inayoitwa Baba Kantuma Iyo Ya Kwenda TPDF Moja Kwa Moja Ilishasitishwa Zaman Sana
lakin unaweza kwenda TPDF kma umepitia Jkt mujibu ukitokea mtaan lakn ukipa wa kukushika mkono
 
Usimtishe kwa wataalam wetu na vifaa wanavyotumia hawawezi kumtambua endapo alizaa na kesha achisha mtoto siku nyingi zilizopita.
I speak what I know 100% usiniulize Mimi ni nani na usiniulize nimejuaje.

Jambo ambalo ni gumu ni kupata nafasi ya kuingia jkt, huo ni mtihani sana, andaa Pesa na mtu(refa)
Mbona unanitisha kwa hy cc maskini na hatuna marefa csahau kabisaaaaa kwenda jkt?
 
Mkuu, jeshini kwa sasa kuna figisu sana na JKT kwa kujitolea baada ya mafunzo unakaa 2yrs kusubiri jina.
Depo la mwisho mwaka jana lilikuwa na figusu sana sijui utawala mpya wa Mabeyo.
Kiufupi elimu yako ni kubwa na very marketing unaweza kupta ajira na ukasahau jeshi.
However nakusapoti sana ukiingia jeshini fani yako ni dili sana
gender yako inatakiwa sana jeshini nowdays.


NB
Kama upo Dar nenda makao makuu kabla hayajahia Dodoma. Shuka Muhimbili njia kama unaenda masaki barabara ya pili kutoka ile ya Don Bosco ifuate kuna geti la nyuma pale waambie wale was mlangoni hawana noma watakuelekeza kwa muajiri mkuu was jeshi ni kanali mmoja hivi hana shida kama wanahitaji accountant atakuweka ktk waiting list. Hii ilishamsaidi mtu wangu was karibu try this
Kaka co kwamba unawaelekeza jwtz coz jkt ipo mikocheni
 
Wakuu
mimi naomba kuulza kidogo....
Hivi WILAYANI na MKOANI ni wapi kigumu kwa vijana wa kujitolea J.K.T......??
msaada pleas
 
Kuna jambo dogo ambalo hatuelewani ni kwamba:kuzuia rushwa na undugulaization/nepotizim ni kazi sana si tu nchi zetu za kimasikini bali hata nchi zilizoendelea.Hivyo basi Rushwa na Kujuana katika ngazi ya wilaya na mkoa hivitokosekana,point yangu ni kwamba system ya baba kanituma imefutwa kama taratibu nyingne zilivyofutwa.Sasa hapo watoto wa wakubwa sijui ndugu jamaa na marafiki watabebwa katika usaili huko katka
ngaz wilaya na mkoa.Nadhani tumeelewana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom