Kaka usikalili maisha hata hapo nyuma kuna vijana wengi walikuwa wanarudishwa home mara baada ya kumaliza mafunzo ya jkt pia kulikuwa na utaratibu wa kuajiri vijana toka mtaani yani wasio pitia mafunzo yoyote ikiwemo jkt waende jwtz,police na kadhalika ila kwa sasa utaratibu huo umefutwa,hakuna kabisa vijana wote huajiriwa kutoka jkt,ukikuta mtu kaajiriwa kutoka mtaani bas ujue huyo kashapitia mafunzo ya jkt na kadhalika.Pia kwa mchakato wa vyeti feki ndio kabisa huwez kwenda kiholela kama zamani ni lazima vyet vichunguzwa na utaratibu huo utakuwa katk ngaz ya wilaya had mkoa,hivyo kutakuwa na mashine maalumu za kuhakiki vyet kama ilivyokuwa katka waajiriwa wengine.