Dark mode
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 733
- 911
Kaka uko bahati pia inamatter watu wanaonga mbk 2m na bado wanakosa kwaio usitegemee sana rushwa jaribu kufata utaratibu na kujarbu mlango wa nyumaKumbe hata uko kuna rushwa haaa si police tu duh ila akichukua police kelele uko jeshini kimya au uko imehalalishwa