Jum Records
JF-Expert Member
- Jun 30, 2014
- 547
- 545
Shukrani sana mkuu kwa taarifa...Sana vipo vingi sana mkuu wewe andaa laki saba ya kuhonga kuingia jakata unaenda kula life
Shukrani sana mkuu kwa taarifa...Sana vipo vingi sana mkuu wewe andaa laki saba ya kuhonga kuingia jakata unaenda kula life
Andaa pesa ya kuhonga kuingia jakataShukrani sana mkuu kwa taarifa...
Too difficult kwa sababu hautakiwi uwe umezaa na Madaktari Kutoka hospital ya Lugalo ndo watagundua kua wewe ni Mmama Jeshi ni kwa Wasichana tuu.Way about age kwa mtu aliye maliza shahada?na akiwa mdada kama ameshazaa kama watoto wawili hivi wanaweza mpokea?mhitimu wa 2015 education
Usimtishe kwa wataalam wetu na vifaa wanavyotumia hawawezi kumtambua endapo alizaa na kesha achisha mtoto siku nyingi zilizopita.Too difficult kwa sababu hautakiwi uwe umezaa na Madaktari Kutoka hospital ya Lugalo ndo watagundua kua wewe ni Mmama Jeshi ni kwa Wasichana tuu.
Shame on you hadi Leo unashindwa kugundua mwanamke aliyezaa hata kwa macho tuu una umri gani Mzee cause screening huwa inafanyika wakiwa uchi na wanaume hufanyika wakiwa Uchi sasa hadi Leo hujawahi kukutana na binti aliyezaa na ukamgundua si vigumu kumtambua mwanamke aliyezaa kama mwanaume aliyezaa au Kuoa.Usimtishe kwa wataalam wetu na vifaa wanavyotumia hawawezi kumtambua endapo alizaa na kesha achisha mtoto siku nyingi zilizopita.
I speak what I know 100% usiniulize Mimi ni nani na usiniulize nimejuaje.
Jambo ambalo ni gumu ni kupata nafasi ya kuingia jkt, huo ni mtihani sana, andaa Pesa na mtu(refa)
There nothing like that kwa wataalam wetu, kama unaongelea muonekano wa matiti na tumbo katika usaili unaongea uongo.Shame on you hadi Leo unashindwa kugundua mwanamke aliyezaa hata kwa macho tuu una umri gani Mzee cause screening huwa inafanyika wakiwa uchi na wanaume hufanyika wakiwa Uchi sasa hadi Leo hujawahi kukutana na binti aliyezaa na ukamgundua si vigumu kumtambua mwanamke aliyezaa kama mwanaume aliyezaa au Kuoa.
Bachelor Veterinary medicineUna level gani ya elimu??
Hiyo ni relevant education na utapata nafasi cha msingi wewe zidi kumuomba mungu tu na ujipange zaidiBachelor Veterinary medicine
Fight upate nafasi hata kupitia jkt, ukishaingia kazi imeisha mkuuBachelor Veterinary medicine
Kwn wana vigezo vy elim level ganUna level gani ya elimu??
Wanataka kuanzia darasa la saba mpaka degree ila kwa darasa la saba mpaka form six umri ni miaka 18-23 but kwa diploma na degree umri ni miaka 18-30Kwn wana vigezo vy elim level gan
Laki saba parefu sana aisee alaf bahati mbaya ukutane na tapeli daaahmvua ina nyesha mkuu?laki?
What I have heard,the vacancies for National service, will be opened in early February, let's keep in touch via this thread,we all patriotic, and we are ready to save our national, I guss it will be soon done as long as there are newly expected camps, that will be opened soon,
sio kila Anaekwenda mjakatani anakula life...smtym yes smtym no....kutoboa mkataba sio jambo LA kushangaza..ila fungua moyo jombaa.."Jeshi Morali"Sana vipo vingi sana mkuu wewe andaa laki saba ya kuhonga kuingia jakata unaenda kula life
Have you got the message?Andika kiswahili tuu mkuu
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!Nakuambia ukweli mkuu ukiwa na laki saba keshi huwezi koswa chance ya Jakarta huo ndoo ukweli huamini wewe tumia njia halali utakuja kuniambia