Honest Seraphine Mrema
Member
- Apr 13, 2017
- 11
- 1
Halikalikii kwa maana gani mkuu ?kikubwa tuone itakuwaje maana jeshi halikaliliki
Halikalikii kwa maana gani mkuu ?kikubwa tuone itakuwaje maana jeshi halikaliliki
Nakusubiri siku moja upasue tofali kwa kichwaAsante sana, mkubwa naomba unisaidie kabisa ili nikawe mmojawapo ya wanajeshi wa JWTZ miaka ijayo ili nilinde, kufanyia kazi na kuendeleza taifa langu zuri, la Tanzania maana ntajuta km sintokuwa mmojawapo ya mjeshi wake (bwana Wa majeshi).
25 je?Hpna
Mkuu umetumia kigezo gani kuhisi?nahic tarehe 9 mwez wa 5
kuna jamaa ypo na kanal 1 ndo amenitelMkuu umetumia kigezo gani kuhisi?
Ahaaah, sawa kaka.Ila hata km nchi imeendelea vp ! Iwe Na zile drones zinazokuwa hazina watu au hata iwe Na vifaa vya kisasa kabisa vya kjeshi, bado matumizi ya wanajeshi- private hadi komandoo, yanahitajika ktk operesheni mbalimbali za kijeshi.Uganda, na Marekan pamoja Na kuwa Na vifaa vya kisasa kwa miaka ileeee, bafi zilipigwa Na Tanzania -Uganda Na Vietnam Na Somalia (USA).kwa hyo vita pia ni morali ya kijesh km watukufu makimandoo wetu Wa JWTZ walivyo Na uzalendo uliotukuka pia.kwa hyo duo vzr kubeza wanapovunja tofali kifuan, kukunja nondo kwa mkono, n.kNakusubiri siku moja upasue tofali kwa kichwa
Jeshi la police la nchi gani???kwa wale wanaotaka kujiunga na jeshi LA
police nafasi zao sishatoka wafanye
application jinsi ya kujiunga nenda Google
au kituo cha police kilichokaribu na ww
Yaani umemtajia hadi tarehe ya usaili ilhali hata nafasi zenyewe bado hazijatangazwa,usail kwanza koz baadae.. usail unaweza ukaanza mwez was 5 tarehe 9
kwa nn mkuu mbona unaniuliza hivyoUna akili timamu?
TanzaniaJeshi la police la nchi gani???
wamesema zitatolewa ila had bajet ipitekwa wale wanaotaka kujiunga na jeshi LA
police nafasi zao sishatoka wafanye
application jinsi ya kujiunga nenda Google
au kituo cha police kilichokaribu na ww
mkuu juz wazir wa ulinz alsema wanasubir bajet ipite ndo watachukua vjana wengneYaani umemtajia hadi tarehe ya usaili ilhali hata nafasi zenyewe bado hazijatangazwa,
Mkuu, tarehe 9 mwezi wa tano bado haijafika? Au usaili ulifanyika?
Sidhani kama,ni kweli japo sina uhakika naloTanzania
Una elimu gani nahitaji kujua?kwa nn mkuu mbona unaniuliza hivyo
Kwani bunge la bajeti linaisha lini?Na hiyo bajeti ya ulinzi inawasilishwa lini?Na hizo habari za kusema hadi bajeti ipite umezisikia wapi?wamesema zitatolewa ila had bajet ipite