Field Marshal
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 414
- 280
Umejuaje? Au umehisi tuhNafasi zinatoka mwez wa saba
Umejuaje? Au umehisi tuhNafasi zinatoka mwez wa saba
ya mkuu wa mkoa au wilayaUna elimu gani nahitaji kujua?
tare 17 ya mwezi wa 7 CCP wanaanza kupokea waliofanya usaili tayari kwa mafunzo mkuu jkt ndo bado mkuu ils jeshi la police tanzania tayariSidhani kama,ni kweli japo sina uhakika nalo
Mhhhh,,,,,,,,inawezekana ila npo makao makuu ya wilaya fulani na hayo siyajui hayo mkuu ila upo vzurtare 17 ya mwezi wa 7 CCP wanaanza kupokea waliofanya usaili tayari kwa mafunzo mkuu jkt ndo bado mkuu ils jeshi la police tanzania tayari
inaonyesha ww haupo karibu na media au mitandao...fatilia hvyo bac bajet ya ulinz itasomwa tarehe 17 mwez huu...Kwani bunge la bajeti linaisha lini?Na hiyo bajeti ya ulinzi inawasilishwa lini?Na hizo habari za kusema hadi bajeti ipite umezisikia wapi?
usail ulifanyka Lin..na watu gantare 17 ya mwezi wa 7 CCP wanaanza kupokea waliofanya usaili tayari kwa mafunzo mkuu jkt ndo bado mkuu ils jeshi la police tanzania tayari
nafasi za police zinatolewaga kituo cha police mkuuMhhhh,,,,,,,,inawezekana ila npo makao makuu ya wilaya fulani na hayo siyajui hayo mkuu ila upo vzur
mm sikuhusika kutafuta hizo nafasi kwahio sijajua ulifanyika lini ila mm aliyeniambia alisema tare hio ataenda mafunzo CCPusail ulifanyka Lin..na watu gan
Halikalikii kwa maana gani mkuu ?
Mkuu hamna update mpaka sasa hivi ukiacha hawa kidato cha sita, labda baada ya hawa au haileweki ??Kadiri miaka inavyosonga ndo taratibu znavobadilika mkuu..
coz miaka ya juz kat kama 2014 kipind kama hiki raia wapo either mkoani au wilayan ama wameshaatend vipimo ila naona mwaka huu mchakato umelate haupo "Static"
Ila kwa tetes za kunyampia nyampia mzigo utadondoka kat ya tar 15-20 chek na notes board za wilayan mzee..!
hiz nafasi za jkt mpk lini sasa?Mi nimepita kwenye notes board za kata ambazo zipo jiran yangu nimekuta tangazo LA mafunzo ya mgambo nikafikiria sana nikaona kama mwaka huu hakutakuwa na jkt .BT vuten subra kwani hlo tangazo LA mgambo ni kwa kata zote za temeke.
Wee jamaa hivi mafunzo ya upolisi huwa yanachukua miezi mingapi???kwa wale wanaotaka kujiunga na jeshi LA
police nafasi zao sishatoka wafanye
application jinsi ya kujiunga nenda Google
au kituo cha police kilichokaribu na ww
miezi 9 mkuuWee jamaa hivi mafunzo ya upolisi huwa yanachukua miezi mingapi???
Eeeh,,,,kumbe wanasota vya kutoshamiezi 9 mkuu
Huu utabiri wako kuna mtu alinambia ila hana uhakikatare 17 ya mwezi wa 7 CCP wanaanza kupokea waliofanya usaili tayari kwa mafunzo mkuu jkt ndo bado mkuu ils jeshi la police tanzania tayari
Akuna watu waliofanya usaili wa polisi mkuuHuu utabiri wako kuna mtu alinambia ila hana uhakika