Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nafasi za JKT zinatoka lini?

Nmeona dogo fulani anasoma fomu ya jkt 2017 ya baba kanituma, nilikua haraka sikpata muda kuisoma vzr! Nikirudi maeneo huska ntaisoma vzr ila kasema hawajatangaza za jumla ila hiyo ni ya Baba kanituma!
 
Nmeona dogo fulani anasoma fomu ya jkt 2017 ya baba kanituma, nilikua haraka sikpata muda kuisoma vzr! Nikirudi maeneo huska ntaisoma vzr ila kasema hawajatangaza za jumla ila hiyo ni ya Baba kanituma!
Mmmh ...labda ulikua na haraka Mkuu ukitulia lete ronja.
 
Hakuna ronja ya uhakika hadi sasa iwe Jwtz au Jkt ...zote zakusikia masela wanasema vijiweni.
 
naomba mnielekeze nmedownload app ya jf sasa nataka niandke thread yang cjui niingie wap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom