MERIDA
Member
- Mar 9, 2017
- 65
- 20
kwa mujibu walisha maliza tangu mwezi marchHujanijibu swali Mkuu
kwa mujibu walisha maliza tangu mwezi marchHujanijibu swali Mkuu
kama wajanja wajiunge huko huko jeshimujibu wameongezewa mda had mwez wa 9
Mbona hawajaonesha kokote kuanzia media hadi website ya Jkt?kwa mujibu walisha maliza tangu mwezi march
hapo cjajua ila wao huwa ni miezi mitatu tuMbona hawajaonesha kokote kuanzia media hadi website ya Jkt?
kifup wamebak pamoja na wa kujitolea yan wamechanganywa walivyoambiwa ni had mwez wa 9 hao mujibuMbona hawajaonesha kokote kuanzia media hadi website ya Jkt?
uyo c alkosa chuo sasa iweje aende cadet wakat inaonyesha hakutmiza vgezo vya kusoma degree... IPO VP hyoNdio mm ushahidi ninao kuna dogo ni private nw alienda mujibu 2013 alivyotoka apo akakosa nafasi chuo ikabidi aingie tena JKT kujitolea 2014 operation muungano na alikubaliwa frsh tuu uyo dogo nw ni private yuko kwnye harakati za kwenda cadet soon anauvaa uwafisa.....
Kwahiyo wanapiga miezi 9 Jkt?mujibu wameongezewa mda had mwez wa 9
haijajulikana kwann wameambiwa wabak labda wameulambaKwahiyo wanapiga miezi 9 Jkt?
ulambahaijajulikana kwann wameambiwa wabak labda wameulamba
ndo hvyo jeshi halina fomulaitakuwa wame
ulamba
Wadau hili swali majib yake yako vip maana nasubir jib la swali hiliNa walioharisha kozi kwa mujibu wa sheria ili waende chuo wanaweza kurenew mkataba baada ya kumaliza chuo au ni mpaka Tangazo litoke tena?
hapo nazan imekula kwako labda uende ya kujitolea kma bado unataka jeshi coz awamu ni mbil tuu...kma hukwenda zote we soma tuu ndgu na kma unapenda jeshi nenda kwa kujitolea.......au uende makao makuu Jkt watakpa maelekezo mazut tuuuWadau hili swali majib yake yako vip maana nasubir jib la swali hili
mkuu hiv nafsi za jkt zimesha toka au unapayuka tu tuambien ukweli wakuuTayari
Mi Nina 25 std VII Ila professional ni driver Chet nnacho na leseni n validWanataka kuanzia darasa la saba mpaka degree ila kwa darasa la saba mpaka form six umri ni miaka 18-23 but kwa diploma na degree umri ni miaka 18-30
hapo inakula kwako...umri kikwazo chet cha shule ndo kila kitu fani inakulahisishia kupata ajiraMi Nina 25 std VII Ila professional ni driver Chet nnacho na leseni n valid
Hahaaaaa watu kwa kutofuta alternative za kutatua unemployementTafadhali naomba kuuliza wana JF, hivi upande wa mifugo jeshini, mean kuna vitengo vya mifugo kwa mtu aliesomea udaktari wa mifugo?
ila kwa laki 7 umeenda mbali sana laki 3 kurudi chini hapo sawaBila pesa uhakika dakika wa kwenda jeshini ni 0.1% utasubiri sana
Hivi vitengo vipo,na jeshini ni pazuri ukiwa na fani kama hivoTafadhali naomba kuuliza wana JF, hivi upande wa mifugo jeshini, mean kuna vitengo vya mifugo kwa mtu aliesomea udaktari wa mifugo?
Usimpotoshe mwenzio tena walohonga ndio waloishia kuliwa pesa zako cha msingi aingilie wilayani asiingilie mkoani competition ni kubwaNakuambia ukweli mkuu ukiwa na laki saba keshi huwezi koswa chance ya Jakarta huo ndoo ukweli huamini wewe tumia njia halali utakuja kuniambia