Mhh hiyo precadet imemalizika lini?Mkuu nachokuambia huamini? Subiri wengine waje watakuambia. Je,wajua precadate wote 162 wametunzwa tu pale makao makuu bila kupelekwa monduli kumalizia kozi?
Ukipata jibu relax.
Mhh hiyo precadet imemalizika lini?Mkuu nachokuambia huamini? Subiri wengine waje watakuambia. Je,wajua precadate wote 162 wametunzwa tu pale makao makuu bila kupelekwa monduli kumalizia kozi?
Ukipata jibu relax.
kwahyo 4m 6 akiwa na chet tu anaenda cadet bro chikoNdio mm ushahidi ninao kuna dogo ni private nw alienda mujibu 2013 alivyotoka apo akakosa nafasi chuo ikabidi aingie tena JKT kujitolea 2014 operation muungano na alikubaliwa frsh tuu uyo dogo nw ni private yuko kwnye harakati za kwenda cadet soon anauvaa uwafisa.....
umenipatakwahyo 4m 6 akiwa na chet tu anaenda cadet bro chiko
Cadet ni degree holder mzeeumenipata
Sawa je kwa form six mwenye ufaulu wa dv1 au dv2 na diploma mwenye upper second class au first class akienda hukoCadet ni degree holder mzee
Currently kwa fom 6 huwez kwenda cadet labda wale wa mahitaji maalum mfano jeshi likihitaj form 6 science PCM, PCB au CBG kwa ajili ya kozi maalum.....ila cjajua kwa diploma NduguSawa je kwa form six mwenye ufaulu wa dv1 au dv2 na diploma mwenye upper second class au first class akienda huko
imekuerewa mkuu maana watu tunapotoshana tu huku mutaaniCurrently kwa fom 6 huwez kwenda cadet labda wale wa mahitaji maalum mfano jeshi likihitaj form 6 science PCM, PCB au CBG kwa ajili ya kozi maalum.....ila cjajua kwa diploma Ndugu
Degree kibao zimejaa jwtz ila form 6 wakiwa na special case na wew hapo Sawa utaenda koziN
imekuerewa mkuu maana watu tunapotoshana tu huku mutaani
kuwa 4m6 mwenye ufaulu mzuri ni cardet zn dploma mwenye ufaulu mzuri naye pia ni cardet moja kwa moja
Na mimi kivpi tenaDegree kibao zimejaa jwtz ila form 6 wakiwa na special case na wew hapo Sawa utaenda kozi
Kwa mujibu wanamaliza lini?Mkuu vipi kuhusu kujitorea mwaka huu nafasi unahisi zitatoka mwezi gani
maana waliopo kozi wanamaliza may 27
nmekusoma mkuuumenipata
Cjajua si unajua mambo yenyewe bado ndo ajira zinaanza kuachiliwaMkuu vipi kuhusu kujitorea mwaka huu nafasi unahisi zitatoka mwezi gani
maana waliopo kozi wanamaliza may 27
wakujitolea ndo wanamaliza may 27Kwa mujibu wanamaliza lini?
Habari ndugu wana jf,,
Kama kichwa cha habari kinavojieleza ningependa kuuliza kkuhusu nafasi za jkt za kujitolea mwaka huu zitatoka lini?? Mwenye taarifa atujuze ili tujipange vizuri,, ahsanteni sana
mujibu wameongezewa mda had mwez wa 9Kwa mujibu wanamaliza lini?
Hujanielewa Mkuu...hao wakujitolea ambao mmesema wanamaliza May 27 wapo na mujibu wanapiga kozi wote...swali:kwa mujibu hao wanamaliza lini?mujibu wameongezewa mda had mwez wa 9
Hujanijibu swali Mkuuwakujitolea ndo wanamaliza may 27