Naweza kukusaidiaMpaka sasa sijafanya maombi ya hii kazi. System imenisumbua toka may 9. natumia simu hapa.
sina access na computer
mwenye uwezo wa kunisaidia haraka naomba tuwasiliane
Nitext whtasapp 0768625199Mpaka sasa sijafanya maombi ya hii kazi. System imenisumbua toka may 9. natumia simu hapa.
sina access na computer
mwenye uwezo wa kunisaidia haraka naomba tuwasiliane
Nenda stationary ya karibu utapata hudumaMpaka sasa sijafanya maombi ya hii kazi. System imenisumbua toka may 9. natumia simu hapa.
sina access na computer
mwenye uwezo wa kunisaidia haraka naomba tuwasiliane
Kuna maeneo kuiona stationary mpaka usafiri kilomita zaidi ya 50 mkuuNenda stationary ya karibu utapata huduma
Huyo labda aende kwenye kuupdate taarifa yake. Ila bila hivyo kaliwa kichwa maana taarifa alizojaza mwanzoni ni za uwongoKuna jamaa ni mtumishi wa umma ile sehemu ya hali ya ajira kakosea akaandika amejiajiri badala ya mwajiriwa halafu kwenye ile fomu namba 1 ya sensa mkuu wake wa kituo kamsainia,je italeta shida?
Yes ni lazima kwa uhakiki baada ya kupita mchujoKwan ni lazima kupeleka kwa mtendaji ukishatuma mtandaoni?
Ndugu inaonekana aupo siriazi na maisha yako, hivi umekosa ata buku mbili ya kwenda internet cafe? Nadhani kitu ulichokuwa unaangaika nacho tangu mei 9 mpk mda huu hakina maana sana kwako ila nasikitika sana vijana wa sasa kuona namna gani wanavyotatua matatizo yao inshu muimu kama hii unaangaika na simu janja tangu mei 9! Samahan kama ntakukwazaMpaka sasa sijafanya maombi ya hii kazi. System imenisumbua toka may 9. natumia simu hapa.
sina access na computer
mwenye uwezo wa kunisaidia haraka naomba tuwasiliane
You judge too fast my friend.Ndugu inaonekana aupo siriazi na maisha yako, hivi umekosa ata buku mbili ya kwenda internet cafe? Nadhani kitu ulichokuwa unaangaika nacho tangu mei 9 mpk mda huu hakina maana sana kwako ila nasikitika sana vijana wa sasa kuona namna gani wanavyotatua matatizo yao inshu muimu kama hii unaangaika na simu janja tangu mei 9! Samahan kama ntakukwaza
Kwann umpige picha mtu na umpost hapa?? Una akili sawasawa wewe??Wakuu nipo kwa mteendaji kiukweli Mambo sio marahisi wajombaView attachment 2230648
Mkuu kala nne kabsa sijui itakuajeWakuu nipo kwa mteendaji kiukweli Mambo sio marahisi wajombaView attachment 2230648
Punguza makasiriko mkuuKwann umpige picha mtu na umpost hapa?? Una akili sawasawa wewe??
NASIKIA hawa ndo watatufanyia usailiMkuu kala nne kabsa sijui itakuaje
Angekuwa Baba yako ungafurahia?? Wakati mwingine tumieni busara, hata kama mnatokea vijijini.Punguza makasiriko mkuu
hii ndo bongo, kuidharau serikaliSema kuna watanzania wamezoea kuzima moto kila sehemu. yani hadi leo deadline bado kuna watu wanahangaika kutuma maombi. Je nikukosa muda?
Nikushindwa kupata taarifa kwa wakati?
Au ni uzembe tu na upotevu wa muda tuliozoea kuishi nao nchi masikini.
Be serious Plz, time is money.
wabongo tumezoea nyongeza hadi ktk mdaSema kuna watanzania wamezoea kuzima moto kila sehemu. yani hadi leo deadline bado kuna watu wanahangaika kutuma maombi. Je nikukosa muda?
Nikushindwa kupata taarifa kwa wakati?
Au ni uzembe tu na upotevu wa muda tuliozoea kuishi nao nchi masikini.
Be serious Plz, time is money.
ujinga, ukiachwa uilaumu serikaliWakuu nipo kwa mteendaji kiukweli Mambo sio marahisi wajombaView attachment 2230648
Hili ni kosa la kisheria na mtu anaweza kufungwa na hata kimaadili haijakaa poa .Ni vyema kupiga na kukemea kongole kwa kuona mdauKwann umpige picha mtu na umpost hapa?? Una akili sawasawa wewe??