Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Wakuu habarini za mchana, naombeni msaada,, katika maombi ya kazi ya sensa nimejaza Kila kitu lakini bado naambiwa maombi hayajakamilika form namba 1 iliyosainiwa haijawekwa . Wakati huohuo form hiyo iliyosaniwa nimeweka inaonekana kabisa.. nisaidieni tafadhari
mkuu hii changamoto umeitatuaje maana mimi hadi sasa holaa nimepakia fomu lakini naambiwa maombi yanasuburi fomu namba moja akati nishaiweka
 
Maombi yamepokelewa
Screenshot_20220518-110128_Chrome.jpg
 
Hili limekuja ata kwa watu niliowatumia maombi yani form no 1 naziona pale zipo ila Maombi yanaonyesha yanasubiri form no1.sasa nashindwa kuelewa ni system yao au ni vipi wakati nilishapakia form no1 ktambo tu.
mkuu hii changamoto umeitatuaje maana mimi hadi sasa holaa nimepakia fomu lakini naambiwa maombi yanasuburi fomu namba moja akati nishaiweka
 
Hivi KWENYE MCHUJO , JE UFAULU WA KIDATO CHA NNE WANA U CONSIDER ? MAANA KWENYE ACADEMIC QUALIFICATIONS NI FORM 4 TUU NA CHETI UNAWEKA...
 
Kuna baadhi ya kata ukisha saini wana hitaji ubakishe copy pale ofisini wakati huo huo kuna kata zingine hazi semi kuacha copy ofisini mwao
Je huu utaratibu wa kuacha copy ya maombi ni Rasmi au imekaaje kwa waombaji wengine mko na experience ipi?
 
Kuna baadhi ya kata ukisha saini wana hitaji ubakishe copy pale ofisini wakati huo huo kuna kata zingine hazi semi kuacha copy ofisini mwao
Je huu utaratibu wa kuacha copy ya maombi ni Rasmi au imekaaje kwa waombaji wengine mko na experience ipi?
Soma tangazo vizuri ,kuna sehemu wameandika muhim
 
Mtaalam tunayemtegemea kufanya kazi ya sensa kwa kutumia Kishikwambi ameenda stationary akalipa 10000 ili asadiwe kufanya application, nawangoja wa hivi waje kwenye interview watajua hawajui
Kama amefanya ivo sababu hana smart phone wala computer mimi naweza kumuelewa. Ila kama amefanya ivo smartphone anayo ila hawezi tu. Hapo ni tatizo.
 
Narudia kusema uzi huu ni msaada mkubwa sana. Washukuriwe wote ambao wanatoa update na maarifa ya kufanya waombaji tuweze kufanya application vizuri. Kwa mfano mimi baada ya kuona watu wanalalamika application kwa simu zinasumbua niliamua kuwa nitafanya appllicaton usiku muda ambao watu watakuwa wamepungua. Imesaidia sana maana ndani ya siku mbili nilikua nimemaliza kila kitu hadi ku-upload fomu no 1. Ukiona mchana panazingua amka saa saba usiku fanya kazi yako. Usiku hakuna usumbufu kama mchana.
 
Mtaalam tunayemtegemea kufanya kazi ya sensa kwa kutumia Kishikwambi ameenda stationary akalipa 10000 ili asadiwe kufanya application, nawangoja wa hivi waje kwenye interview watajua hawajui
Mtendaji mstaafu hapo sijaelewa statement yako ulivyoiweka.. ulivyoandika yaani unamaanisha
 
Back
Top Bottom