Naenda Tanga Kuoa

Mimi naogopa kuoa Tanga kwasababu ya zile story za kupelekwa bafuni umebebwa mgongoni, ukakarishwa kwenye kigoda na ma%#£¥£ kwenye kososi.
Maji yana hiriki na viungo sasa nikifikiria hayo naona hiyo kitu siyo style yangu.
 
Hapa Nilipo Nipo Moto Na Totoz Za Tanga Acha Tuu
 

Daah. Shukrani sana Shemeji.

Japokuwa saa nyingine huwa nawashangaa sana wale wenye kuipa hila Tanga ila ndio hivyo huwa sina jinsi.

Barikiwa sana Shemeji yangu. Pia nawaombea kwa Allah azidi kuwasimamia.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Na mimi nina mpango wa kwenda huko mwakani, ukifanikiwa uje na mrejesho
 
Maneno Yana Nyama Nyingi Sana Haya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…