kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Naenda Moshi kwetu kwa ajili ya kufunga ndoa baada ya karibia miezi 3 toka niachane na mke wangu ambaye tumeishi miaka kadhaa na tumebahatika kuwa na watoto pia
Nilileta huu uzi humu jukwaani
Nimejifunza kwenye maisha hakuna kitu kizuri kama kuwa na furaha na amani ya moyo hicho ndo kikubwa tu
Kuna watu wanaishi ndoa za mateso wanavumilia kwamba wanaona wakiachana na wapenzi wao kwamba jamii na watu watawaonaje au watazungumzaje, rafiki yangu tafuta furaha yako na amani ya maisha yako bila kuangalia watu wanasemaje imradi usivunje sheria au kumuudhi mungu
Mimi naenda kufunga ndoa Moshi na mke wangu mpya, Kikubwa furaha tu na amani na ustawi wa maisha tu...
Mipango ya ndoa ilikua toka mwezi mmoja, sasa watu wananiuliza kwanini nimeharakisha kuoa wakati ni miezi tu miwili umetoka kuachana na mkeo wa kwanza, sasa wao wanataka nifanyeje? Nikae miaka ndo nioe tena?ili iweje sasa?Na kwanini niishi kibachelor wakati uwezo wa kuoa na kuhudumia mke kila kitu ninao?
Nilileta huu uzi humu jukwaani
Kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Najuta
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa. Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu. Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke...
www.jamiiforums.com
Nimejifunza kwenye maisha hakuna kitu kizuri kama kuwa na furaha na amani ya moyo hicho ndo kikubwa tu
Kuna watu wanaishi ndoa za mateso wanavumilia kwamba wanaona wakiachana na wapenzi wao kwamba jamii na watu watawaonaje au watazungumzaje, rafiki yangu tafuta furaha yako na amani ya maisha yako bila kuangalia watu wanasemaje imradi usivunje sheria au kumuudhi mungu
Mimi naenda kufunga ndoa Moshi na mke wangu mpya, Kikubwa furaha tu na amani na ustawi wa maisha tu...
Mipango ya ndoa ilikua toka mwezi mmoja, sasa watu wananiuliza kwanini nimeharakisha kuoa wakati ni miezi tu miwili umetoka kuachana na mkeo wa kwanza, sasa wao wanataka nifanyeje? Nikae miaka ndo nioe tena?ili iweje sasa?Na kwanini niishi kibachelor wakati uwezo wa kuoa na kuhudumia mke kila kitu ninao?