Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 492
Mwanangu nakupa tizi la kijeshi na msosi Wa maana.
Amka asubuhi kimbia 60-80 KM.. Ukiweza hata 120- 145 KM.
Piga sit ups, push ups na kuruka kamba.
Kunywa maji Lita 3-6 kwa siku, ila sio kwa Mara moja.
Kula mihogo, mibichi na ya kupikwa.. Epuka mafuta.
Mboga za majani za kutosha.. Usiweke mafuta, labda karanga.
Uyoga Wa porini mtamu
Matunda, achana na juice za Azam
Lala mapema, amka mapema
Acha stress
Omba Mungu pia.
Kila la kheri komando.
Amka asubuhi kimbia 60-80 KM.. Ukiweza hata 120- 145 KM.
Piga sit ups, push ups na kuruka kamba.
Kunywa maji Lita 3-6 kwa siku, ila sio kwa Mara moja.
Kula mihogo, mibichi na ya kupikwa.. Epuka mafuta.
Mboga za majani za kutosha.. Usiweke mafuta, labda karanga.
Uyoga Wa porini mtamu
Matunda, achana na juice za Azam
Lala mapema, amka mapema
Acha stress
Omba Mungu pia.
Kila la kheri komando.